Tamisemi inamaana sisi tuliokosa ajira si watanzania?


ndugu waliwahi kutoa tangazo kwa yeyote ambaye jina lake halikuappear aende Tamisemi dom akiwa na vielelezo vyake muhimu, je ulifanya hivyo?
 
Hili tangazo lilitolewa na nani ndugu yangu.

nenda tamisemi wewe tangazo wamebandika kweubao wa wizara ya elimu kule tamisemi wameweka form nje unajaza jina wanapost dodoma mako makuu then tarehe moja unachungulia post kwenye website.
 
Hatimaye wana SJUT-DOM ambao tulikosa ajira leo tr.03,tamisemi wametuajiri wote 318,na tunaripoti pamoja na wenzetu.Mungu awabariki wote mliotuombea pia awasamehe wale waliokuwa wanatoa maneno ya dhihaka kwetu.
 
hongereni wana SJUT-DOM,ila kuna vyuo vingi tz na wapo waliokosa kupangiwa cjui tamisemi wanamaanisha nn kupanga wa2 wa chuo kimoja tu while kuna wengn wanasota
 
mi mwenyewe nipo njia panda mkuu inakuaje st. John wamepangiwa alafu vyuo vingine bado
 
this gvnt is crazy. ila yawezekana hivo vyuo hawakupeleka majina il a cha kufanya ni bora Mwalimu ukafika wizarani mwenyewe ukaandike barua na watakupanga. hii hali imejirudia kwani hata last year kuna vyuo waliachwa kwa kosa la Chuo kutopeleka majina ya wahitimu na baada tu ya wahitimu kuandika barua ndani ya wiki moja wote wakapata vituo
 
@ clicker, mi nadhani tatizo c chuo bali ni huko wizarani kwasababu watu wa diploma na certificate wanafanya necta na matokeo yao yanaandaliwa wizarani na post zinatoka huko moja kwa moja je chuo kinahusika vipi kwa watu kama hawa? na kuhusu kuandika majina pale mwenyewe, cc tulipeleka mpaka na copy za certificates zetu kwaqnzia o-level na tulikuwa watu kibao kutoka vyuo tofauti lakini wametoa st john tu! so hao watu wana matatizo na hawafikiri namna ya kutudanganya wanaropoka tu coz walituambia tarh moja mambo yatakuwa sawa lakioni ndo kamaq hivo mpaka sasa ola!
 
jabulan acha kupwayuka kama huna cha msingi cha kuchangia sawa we unajua ambao hatujapangiwa elimu yetu ikoje????? ncje nkakutukana -------- ww #Jabulan
 
Ucjal devotha,labda wata2panga 2,ngoja 2wasubirie hawa until tar 10,vinginevyo 2taandamana mpaka oficn kwao
 
Hatimaye wana SJUT-DOM ambao tulikosa ajira leo tr.03,tamisemi wametuajiri wote 318,na tunaripoti pamoja na wenzetu.Mungu awabariki wote mliotuombea pia awasamehe wale waliokuwa wanatoa maneno ya dhihaka kwetu.

Hongera ndugu, yani naona kama mimi na wewe ndo tulikuwa mstari mmoja. Nashkuru Mungu, kweli subira yavuta heri. Wamenipanga halmashauri ya moshi mjini. Ila kuna wenzangu tulihangaika wote na bado hawajapangwa, wako kama 46.
 
nendeni mkalijenge taifa ila m2ombee na cc ambao bado 2nasubiri chochote kwa tamisemi
 
Hongera ndugu, yani naona kama mimi na wewe ndo tulikuwa mstari mmoja. Nashkuru Mungu, kweli subira yavuta heri. Wamenipanga halmashauri ya moshi mjini. Ila kuna wenzangu tulihangaika wote na bado hawajapangwa, wako kama 46.

kwni c wanasema wametoa ya hawa jamaa wa sjut dom,we umebahatikaje bwana demo?
 
jabulan acha kupwayuka kama huna cha msingi cha kuchangia sawa we unajua ambao hatujapangiwa elimu yetu ikoje????? ncje nkakutukana -------- ww #Jabulan

vunga 2 babylon tower na hzi presha za cc kutopangiwa mpaka leo afu m2 mwingn analeta machara unaweza ukaua bure eti,we cha mcngi 2endelee kumwomba mungu awape akili ya ku2panga hao tamisemi maana wana mambo ya ajabu kwl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…