TAMISEMI iwajibishwe kwa kuzua taharuki kuhusu suala la chaguzi za kidato cha tano

TAMISEMI iwajibishwe kwa kuzua taharuki kuhusu suala la chaguzi za kidato cha tano

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
495
Reaction score
775
Kutokana na taharuki kuzidi kuendelea hapa nchini kuhusiana na ile issue ya kidato cha tano ni vyema wizara husika ikawajibika kwa hilo.

Vile vile ni vyema ikafumuliwa kabisa kama ilivyofanyika kwa NBS, Wizara ya Fedha.

Lakini Waziri Ummy inabidi aache tabia ya kuzisemea ofisi za Ma-RC eti hawafanyi kazi bila hata ya kuchunguza sababu za kutofanya kazi.

Waziri Ummy study ofisi kwanza na sio kukimbilia kimbilia kwenye vyombo vya habari ili mama akuone.

Taratibu utafika
 
Jambo we!
Mwaka 2019 walijaribu Kama tuna uwezo wa KUKATAA wanachoamua, wakasambaza viongozi ngazi za chini ambao hatukuwapigia kura ... KIMYA.

WALIPOONA KIMYA .
2020 wakasimika Tena viongozi ngazi za juu pasipo kujali Kama wanakubalika au lah! - KIMYA .

SASA ....
2021 Vijana wetu wanataka kuwapeleka kusoma both ambavyo sio machaguo yao .

Je, Tuendelee kuwa kimya au tupaze sauti KUKATAA kuburuzwa?
 
Msiwatete hao vijana, wengine kombi hazijabalance yaani wao ndio wamesaidiwa bado wanapiga kelelee

Una DDC sayansi uende wapi aisee
 
Back
Top Bottom