bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Tuchungulie wapi ?.wameshatoa majina lakini nimeshangaa sana mwanangu aliomba machaguo yote CBG lakini wamempa HGK sasa kuna maana gani ya kusumbua watu kujaza selfom?
selform.tamisemi.go.tzTuchungulie wapi ?.
inasemaje, acha gubuKwamba post yangu hamuioni
Kwamba post yangu hamuioni
Kila mtoto ana account yake,pale penye account kuna option ya kuangalia selection so ingia hapo then weka namba yake ya mtihani utaona amepangiwa wapi?Unaingalia wapi?
Kila mtoto ana account yake,pale penye account kuna option ya kuangalia selection so ingia hapo then weka namba yake ya mtihani utaona amepangiwa wapi?
Unaweza mbadilishiawameshatoa majina lakini nimeshangaa sana mwanangu aliomba machaguo yote CBG lakini wamempa HGK sasa kuna maana gani ya kusumbua watu kujaza selfom?
Mwezi ujao wa sita,aiseeWanatakiwa kuanza kuripoti mashuleni lini wakuu??
Kuna sehemu imeeleza vyemaUnaingalia wapi?