kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
TAMISEMI inacheza na maisha ya watumishi wa umma , kwamba hawato pata stahiki zao za kupanda madaraja kwa kisingizio cha PEPMIS mfumo ambao unahitaji mda kuuelewa na unahitaji vitendea kazi ni kuwafanyia ukatili mkubwa watumishi
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba mfumo huu kwenye simu na vishkambi unasumbua angalau utumie computer halafu , kifupi ni mfumo ambao haujazingatia kabisa hali halisi na mazingira ya watumishi wa umma ndani ya nchi hii.
Lakini cha ajabu watumishi wana ambiwa hawata panda kisa huo mfumo!? Huu utakuwa ni unyanyasaji mkubwa kwa watumishi wa umma ambao wamewajibika kwa miaka mitatu au zaidi halafu jambo la miezi miwili tuu tena ambalo mmelianzisha kwa pupa bila kuzingatia mazingira wa watumiaji likawe kikwazo cha kuwakosesha haki zao huo ni UKATILI mkubwa sana kwa watumishi.
Pia soma: Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba mfumo huu kwenye simu na vishkambi unasumbua angalau utumie computer halafu , kifupi ni mfumo ambao haujazingatia kabisa hali halisi na mazingira ya watumishi wa umma ndani ya nchi hii.
Lakini cha ajabu watumishi wana ambiwa hawata panda kisa huo mfumo!? Huu utakuwa ni unyanyasaji mkubwa kwa watumishi wa umma ambao wamewajibika kwa miaka mitatu au zaidi halafu jambo la miezi miwili tuu tena ambalo mmelianzisha kwa pupa bila kuzingatia mazingira wa watumiaji likawe kikwazo cha kuwakosesha haki zao huo ni UKATILI mkubwa sana kwa watumishi.
Pia soma: Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha