TAMISEMI kwanini mnatangaza ajira kabla ya kuweka sawa mfumo wa kutuma maombi?

TAMISEMI kwanini mnatangaza ajira kabla ya kuweka sawa mfumo wa kutuma maombi?

Afage

Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
46
Reaction score
66
Kuna vitu vinafikirisha na kuvunja moyo hivi

1. Inakuwaje mnaachia tangazo la kuomba ajira na mfumo wenu haujakaa sawa?

2. Je mnajua kuwa kuna watu wamesafiri kutoka vijijini kuna mjini kufanya maombi kwa kukopa tu nauli?

3. Kabla hamjaruhusu tangazo hamkufanya tathimin ya mfumo kabla?

4. IT wa wizara wako serious kweli?
5. Upungufu wenyewe wa watumishi ni wengi ila mnaomba kiduchu

ANGALIZO
A. Waziri unasimamia wizara nyeti sana ila bado unajifunza na watalamu wako wahakupi ushirikiano vizuri.

B. Chagueni watumishi bila kupendelea ili msilete manung'uniko tunajua waombaji ni wengi sana ila zingatieni mwaka wa kuhitimu, uhitaji wa masomo na umri wa mtu.

C. Shule zote zinaupungufu kumbukeni kuomba ajira mbadala pare watumishi wanapostafu kupunguza msongamano mtaani
 
Kuna vitu vinafikirisha na kuvunja moyo hivi

1. Inakuwaje mnaachia tangazo la kuomba ajira na mfumo wenu haujakaa sawa?

2. Je mnajua kuwa kuna watu wamesafiri kutoka vijijini kuna mjini kufanya maombi kwa kukopa tu nauli?

3. Kabla hamjaruhusu tangazo hamkufanya tathimin ya mfumo kabla?

4. IT wa wizara wako serious kweli?
5. Upungufu wenyewe wa watumishi ni wengi ila mnaomba kiduchu

ANGALIZO
A. Waziri unasimamia wizara nyeti sana ila bado unajifunza na watalamu wako wahakupi ushirikiano vizuri.

B. Chagueni watumishi bila kupendelea ili msilete manung'uniko tunajua waombaji ni wengi sana ila zingatieni mwaka wa kuhitimu, uhitaji wa masomo na umri wa mtu.

C. Shule zote zinaupungufu kumbukeni kuomba ajira mbadala pare watumishi wanapostafu kupunguza msongamano mtaani
Inafaa I wamekosea hilo limefanywa makusudi kujua umma kuwa wamefika ajira kumbe Vaku
 
Kuna mtu kafanikiwa kuingia ndani ya mfumo mpaka sasa
 
jamani mbna nikifungua nikilogin inaonyesha kila mda unauthorized user na wakati username na password ni sahihi
 
jamani mbna nikifungua nikilogin inaonyesha kila mda unauthorized user na wakati username na password ni sahihi
Acc za mwaka jana zimefutwq zote,hivyo anza upya na sasa username itakua no za nida na sio form four index no
 
Hiyo kawaida waombaji ni wengi sana hvyo system lazima ishuke kidogo .
 
Back
Top Bottom