Niende moja kwa moja kwenye hoja kwa mda sasa serikali imekuwa ikipeleka pesa za maendeleo ya miundombinu katika halmashauri zake mfano pesa za ujenzi wa vituo vya afya, pesa za ujenzi wa madarasa, pesa za ujenzi wa nyumba za watumishi,na pesa hizi zimekuwa zikiingia moja kwa moja kwenye akaunti ya taasisi husika ambazo zinasimamiwa na halmashauri au zikiingia halmashauri na badae kupelekwa katika taasisi husika.
Sasa kwakua bunge linaendelea tunaomba waziri mwenye dhamana atuambie ikiwa fedha za maendeleo zinatumwa katika halmashauri kulingana na makadilio ya ujenzi wataalam mnaita BOQ inakuwaje halmashauri zimeanza jigeuza wazabuni wa usambazaji wa vifaa vya ujenzi katika miradi hii na ikiwa halmashauri ndio inatoa wataalamu kukagua ubora wa vifaa hivyo iweje leo ndio awe msambazaji sawa tunajua wanaitaji mapato sasa ikiwa wao ndio Serikali tunaitaji wasaidie wafanya biashara kufanya biashara na kukusanya Kodi katika halmashauri zao leo hii na wao wanekuwa wafanya biashara je Kodi wanalipa na je katika sheria za manunuzi wanashuindanishwa na nani kujua ubora wa bidhaa zao ikiwa wao ndio wakaguzi na wao ndio wauzaji.
Tunashuhudia kazi zikifanywa tukiuliza nani anasambaza saruji unambiwa halmashauri, ukiuliza kokoto nk unambiwa halmashauri, ukiuliza mafundi unasikia halmashauri, Kila kitu unasikia halmashauri swali hii kitu kisheria ni sawa kama ni sawa hakuna tatizo kama si sawa hawa watu wa halmashauri wanatoa wapi mamlaka ya kujiamulia mambo yaliyo nje ya utaratibu, au ndio shamba la bibi maana hatuelewi.
Sasa kwakua bunge linaendelea tunaomba waziri mwenye dhamana atuambie ikiwa fedha za maendeleo zinatumwa katika halmashauri kulingana na makadilio ya ujenzi wataalam mnaita BOQ inakuwaje halmashauri zimeanza jigeuza wazabuni wa usambazaji wa vifaa vya ujenzi katika miradi hii na ikiwa halmashauri ndio inatoa wataalamu kukagua ubora wa vifaa hivyo iweje leo ndio awe msambazaji sawa tunajua wanaitaji mapato sasa ikiwa wao ndio Serikali tunaitaji wasaidie wafanya biashara kufanya biashara na kukusanya Kodi katika halmashauri zao leo hii na wao wanekuwa wafanya biashara je Kodi wanalipa na je katika sheria za manunuzi wanashuindanishwa na nani kujua ubora wa bidhaa zao ikiwa wao ndio wakaguzi na wao ndio wauzaji.
Tunashuhudia kazi zikifanywa tukiuliza nani anasambaza saruji unambiwa halmashauri, ukiuliza kokoto nk unambiwa halmashauri, ukiuliza mafundi unasikia halmashauri, Kila kitu unasikia halmashauri swali hii kitu kisheria ni sawa kama ni sawa hakuna tatizo kama si sawa hawa watu wa halmashauri wanatoa wapi mamlaka ya kujiamulia mambo yaliyo nje ya utaratibu, au ndio shamba la bibi maana hatuelewi.