TAMISEMI naomba mnifahamishe kauli ya Madiwani kuazimia watumishi ni ya kisheria

TAMISEMI naomba mnifahamishe kauli ya Madiwani kuazimia watumishi ni ya kisheria

ligendayika

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,183
Reaction score
198
Nimekuwa nikisikia kila mara madiwani wa halmashauri fulani wamemwazimia mtumishi fulani tena maeneo mengine madiwani wamemkataa mtumishi fulani labda mkurugenzi au yeyote. Najiuliza kama hivyo hawa madiwani sasa si watakuwa wanafanya wanavyotaka kama mtumishi mekwazana na diwani huko mitaani anakujengea hoja kwa madiwani kadhaa unaazimiwa. Naomba wana JF wenye uelewa tuambieni hii ipo kisheria kama sheria ndo hivyo basi ukiwa mtendaji ambae hutaki kuburuzwa na hawa madiwani unaazimiwa. Nijuzeni
 
Back
Top Bottom