Annuity
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 338
- 198
Serikali mara nyingi inalalamika walimu wa sayansi hawatoshi, ukimya huu unapeleka message gani kwa waalimu hao? Toeni hata tamko basi msiwavunje moyo kama hizo ajira zipo na kama hamna wajue waka apply private maana wengine inawezekana wanasubiri ajira za serikalin kwa ajili ya uzalendo wao tu kutumikia taifa.