Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Kweli kabisa, wanaweza kuongeza na hizo nyingine. Nimeitaja hiyo maana naona kama ndio highest ranking kwa dunia nzima.Ushauri mzuri ila usifunge wigo kwenye PMP maana zipo zaidi ya PMP na ni accredited kimataifa pia
Nadhani kile chuo cha project management kule posta (dsm) ni washirika wa PMI. Jaribu kutafuta mtandaoni taarifa zaidi.Kwa hapa kwetu nchini inasomwa wapi tukajiandikishe?
🤣🤣🤣Huko wanajali cheti cha uvccm na sio hivyo vya kitaalam.
Kama Course in yrs au zile miez 3 or 6 tu?Nadhani kile chuo cha project management kule posta (dsm) ni washirika wa PMI. Jaribu kutafuta mtandaoni taarifa zaidi.
Ile inataka angalau masaa 35 ya darasani halafu baada ya hapo unasoma mwenyewe kisha unakuja kufanya mtihani. Ukifaulu unakuwa certified professional project manager na unapata hiyo PMP.Kama Course in yrs au zile miez 3 or 6 tu?
Kweli mkuu, serikali inachelewa sana kuweka vigezo vya kimataifa kwenye wataalamu wake.Qms muhimu nayo kuwasimamia wanaosimamia hiyo miradi.
Mwenge Catholic University na Mzumbe wanatoa kwa ngazi ya Bachelor degree. Kuna vyuo vingi wanatoa ngazi ya masters.Kwa hapa kwetu nchini inasomwa wapi tukajiandikishe?
Ni kozi ya miaka 3 ngazi ya Bachelor degree na miaka 2 ngazi ya masters..... Siyo kozi ya muda mfupiKama Course in yrs au zile miez 3 or 6 tu?
Ipo ya mda mfupi mkuu inatolewa institute of project managementNi kozi ya miaka 3 ngazi ya Bachelor degree na miaka 2 ngazi ya masters..... Siyo kozi ya muda mfupi
Asante kwa taarifa boss. Sikujua hiliIpo ya mda mfupi mkuu inatolewa institute of project management