LGE2024 TAMISEMI pamoja na taarifa za jumla za uandikishaji kwe mikoa, mtoe pia takwimu hizi kwenye ngazi ya Kata na Mitaa

LGE2024 TAMISEMI pamoja na taarifa za jumla za uandikishaji kwe mikoa, mtoe pia takwimu hizi kwenye ngazi ya Kata na Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Waziri Mchengerwa ametoa taarifa ya uandikishaji ambapo taarifa hiyo imetolewa kimkoa kwa ujumla pamoja na asilimia walizofikisha.

Kama mmepata taarifa za kila mkoa, ina maana taarifa kwenye ngazi ya kata na mitaa pia taarifa hizo zipo, kwanini tunapewa kwa ujumla na si kwa kata na mitaa?

Wanananchi tunastahili taarifa hizi, tupewe. Haya ndio yanasababisha mtu akitafuta taarifa hizi hapati lakini pia ni rahisi taarifa hizi kupikwa, ndio maana mnawafanya CHADEMA waanze kujiwahi kutoa taarifa walizokusanya sababu wanajua huku ndiko mnakoelea, hatua taarifa za kata na mitaa, tutajuaje kama takwimu za mkoa tulizopewa ni sawa?

OR TAMISEMI taarifa hizi zinatakiwa kupatikana katika tovuti kwaajili ya kila mwananchi kuweza kuzipata, na mfanye hivyo.
 
Wakuu,

Waziri Mchengerwa ametoa taarifa ya uandikishaji ambapo taarifa hiyo imetolewa kimkoa kwa ujumla pamoja na asilimia walizofikisha.

Kama mmepata taarifa za kila mkoa, ina maana taarifa kwenye ngazi ya kata na mitaa pia taarifa hizo zipo, kwanini tunapewa kwa ujumla na si kwa kata na mitaa?

Wnananchi tunastahili taarifa hizi, tupewe. Haya ndio yanasababisha mtu akitafuta taarifa hizi hapati lakini pia ni rahisi taarifa hizi kupikwa, ndio maana mnawafanya CHADEMA waanze kujiwahi kutoa taarifa walizokusanya sababu wanajua huku ndiko mnakoelea, hatua taarifa za kata na mitaa, tutajuaje kama takwimu za mkoa tulizopewa ni sawa?

OR TAMISEMI taarifa hizi zinatakiwa kupatikana katika tovuti kwaajili ya kila mwananchi kuweza kuzipata, na mfanye hivyo.
Taarifa zote zitakaponakiliwa vyema kwenye vinakilishi na kuchapishwa, zitabandikwa katika kila mtaa na vijijini husika siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa Nov.27.2024, kwajili ya uhakiki.

Ni muhimu sana kua wastahimilivu na wenye subra, kwani ni mapema mno kufanya hivyo kwasasa. Ikumbukwe katika maeneo kadhaa zoezi bado linaendelea kutokana na changamoto za kiusalama 🐒
 
Taarifa zote zitakaponakiliwa vyema kwenye vinakilishi na kuchapishwa, zitabandikwa katika kila mtaa na vijijini husika siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa Nov.27.2024, kwajili ya uhakiki.

Ni muhimu sana kua wastahimilivu na wenye subra, kwani ni mapema mno kufanya hivyo kwasasa. Ikumbukwe katika maeneo kadhaa zoezi bado linaendelea kutokana na changamoto za kiusalama 🐒
Hizi takwimu unazihamini?
Kama kuna clip inaonyesha wanasombwa mpaka wanafunzi kujiandikisha, yeye anasema hana taarifa, unategema kitu hapo?
 
Hizi takwimu unazihamini?
Kama kuna clip inaonyesha wanasombwa mpaka wanafunzi kujiandikisha, yeye anasema hana taarifa, unategema kitu hapo?
Yes,
wanafunzi wenye sifa wanastahili pia kujiandikisha na kupiga kura gentleman.

au wewe una takwimu nyingine sahihi na za kuaminika?

ziweke basi humu kwa faida ya wadau gentleman:pedroP:
 
Hivi ile sensa ya watu na kakazi walikua wanaandika mpaka umri wa mlengwa?
Kama ndio itawasaidia watakwimu.
 
Back
Top Bottom