Hakuna mpaka mwakaniKwa mwenye fununu jamani maana miezi inakata tu
Unamsikiliza mwanasiasaKwahiyo waziri wa tamisemi alikuwa anatania?
Amekuambia habond na vijana wa mtaani?!!Jiongeze mazee jaribu kubond na vijana wa mtaani wakati unaendelea kusubir ajira
We ni mke wake unamjibia? Yy ndo anatakiwa ajibu sio wwAmekuambia habond na vijana wa mtaani?!!
We ni mke wake unamjibia? Yy ndo anatakiwa ajibu sio ww
Acha makasiriko ww! Mbona jobless wa miaka hii mna hasira sana....zamani hamkua hvUsilete ujuaji kwenye maisha ya watu, ua mnakua wachawi baadae