beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amesema Sekta ya Afya ina upungufu wa Watumishi na hadi kufikia Mei mwaka 2021, Watumishi waliokuwepo ni 41% ya mahitaji halisi
Ametaja baadhi ya sababu za upungufu kuwa ni kustaafu kazi, kufariki dunia na kuongezeka kwa idadi ya Vituo vya kutolea huduma za Afya Nchini. Amesema Serikali itaendelea kuajiri Watumishi kwa awamu
Ametaja baadhi ya sababu za upungufu kuwa ni kustaafu kazi, kufariki dunia na kuongezeka kwa idadi ya Vituo vya kutolea huduma za Afya Nchini. Amesema Serikali itaendelea kuajiri Watumishi kwa awamu