LGE2024 TAMISEMI yasema Ujasiriamali ni kazi halali, si sawa kutumika kuengua wagombea Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 TAMISEMI yasema Ujasiriamali ni kazi halali, si sawa kutumika kuengua wagombea Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====

Screenshot_20241112_154804_Instagram.jpg

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
 
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====


Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
Sasa inasaidia nini kulisema hilo sasa wakati maelekezo ya Mchengerwa kwa wakurugenzi na watendaji ilikuwa sababu hiyo itumike kuwaengua wagombea wa Chadema?
 
Hata asiye na kazi ana haki ya kibinadamu na kikatiba ya kugombea uongozi.

Hii haki ipo tu, mtu awe na kazi au asiwe na kazi,

Zaidi, kuwa na kazi nako ni haki ya kibinadamu na kikatiba pia.

Kwa hiyo, kumnyima mtu haki ya kupiga au kupigiwa kura kwa sababu hana kazi ni kumnyima haki moja ya kikatiba (kupiga au kupigiwa kura) kwa sababu umemnyima haki nyingine ya kikatiba (kuwa na kazi).
 
Watumishi wengi wa Serikali ni wajinga, wanadhani wakijipendekeza kwa Serikali watapanda vyeo. Huku mtu makini na mtenda haki ndio hupanda vyeo haraka.
 
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====


Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
Mbona mwanzo waliwakata wajasiria mali?
 
Mbona mwanzo waliwakata wajasiria mali?
Baada ya kuona pia kuna wanaccm wameandika ni wajasiriamali na wameachwa kwa aibu wanasema hivyo. Cha ajabu unaweza kukuta wakaendelea kuenguliwa hata kama wamesema hivyo hadharani.
 
Hata asiye na kazi ana haki ya kibinadamu na kikatiba ya kugombea uongozi.

Hii haki ipo tu, mtu awe na kazi au asiwe na kazi,

Zaidi, kuwa na kazi nako ni haki ya kibinadamu na kikatiba pia.

Kwa hiyo, kumnyima mtu haki ya kupiga au kupigiwa kura kwa sababu hana kazi ni kumnyima haki moja ya kikatiba (kupiga au kupigiwa kura) kwa sababu umemnyima haki nyingine ya kikatiba (kuwa na kazi).
Nchi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini hakuna aliyekuwa na hoja kama ya kwako japo ni jambo ambalo liko wazi. Kazi au kutokuwa na kazi siyo kigezo cha kuomba uongozi. Wapiga kura ndiyo wataamua ni nani wampe.
 
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====


Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
Kwanini hawakutoa maelekezo hayo kabla ya uchaguzi?
 
Hata asiye na kazi ana haki ya kibinadamu na kikatiba ya kugombea uongozi.

Hii haki ipo tu, mtu awe na kazi au asiwe na kazi,

Zaidi, kuwa na kazi nako ni haki ya kibinadamu na kikatiba pia.

Kwa hiyo, kumnyima mtu haki ya kupiga au kupigiwa kura kwa sababu hana kazi ni kumnyima haki moja ya kikatiba (kupiga au kupigiwa kura) kwa sababu umemnyima haki nyingine ya kikatiba (kuwa na kazi).
Naomba niyatumie haya maneno kama signature yangu ndugu Kiranga .

"Kumnyima mtu haki ya kupiga au kupigiwa kura kwa sababu hana kazi ni kumnyima haki moja ya kikatiba (kupiga au kupigiwa kura) kwa sababu umemnyima haki nyingine ya kikatiba (kuwa na kazi)."
 
Najiuliza tu uko vijijini miaka yote CCM Ina wazee wanywa wanzuki na kahawa tu na kuishi vijiweni mbona mwaka huu
 
Nchi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini hakuna aliyekuwa na hoja kama ya kwako japo ni jambo ambalo liko wazi. Kazi au kutokuwa na kazi siyo kigezo cha kuomba uongozi. Wapiga kura ndiyo wataamua ni nani wampe.
Mkuu,

Safari yetu ndefu sana.

Hizi haki za kuwa na kazi na kupigiwa kura ni haki za kibinadamu na haki za kikatiba. Zimo katika katiba yetu ya sasa, hatuhitaji hata katiba mpya kuwa na haki hizi.

Zimo katika katiba.

Haki ya kupigiwa kura haihusiani kabisa na kuwa na kazi au kutokuwa na kazi.

Tuna wanasheria kibao wamesomea mambo haya, mimi hata sijasomea sheria na naelewa hili.

Nashangaa wanasheria wetu wanafanya kazi gani.
 
Naomba niyatumie haya maneno kama signature yangu ndugu Kiranga .

"Kumnyima mtu haki ya kupiga au kupigiwa kura kwa sababu hana kazi ni kumnyima haki moja ya kikatiba (kupiga au kupigiwa kura) kwa sababu umemnyima haki nyingine ya kikatiba (kuwa na kazi)."
Hakuna shida mkuu.
 
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====


Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
 

Attachments

  • VID-20241112-WA0025.mp4
    26.2 MB
  • VID-20241112-WA0024.mp4
    18.9 MB
Hii nchi ujinga ni mwingi sana yaani.

Kwa sababu Emmanuel kasema Tamisemi wasikate watu sasa wanaibuka kusema hivi, kwahiyo hii nchi inaendeshwa na maamuzi ya ccm sio?

Waliwaengua kuwaridhisha ccm wamewageuka nao wamejaa mazima! Wakati wenzao ccm wanachukulia hiyo kama kiki
 
Kw
Wakuu,

Kwahiyo wale walioenguliwa kwa kigezo hiki wanakuwa ndio wamerudi kwenye kinyang'anyiro au ndio wameondolewa hivyo hivyo kwa uonevu?

====


Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) imesema ujasiriamali ni kazi halali inayotambulika kiserikali, si sawa kutumika kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 12, 2024 na Mwanasheria wa Tamisemi, Mihayo Kadete wakati akijibu maswali kwenye kikao kazi na wahariri kinachofanyika jijini Dar es Salaam.

Kupata nyuzi kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kadete amesema si sahihi mgombea kuenguliwa kwa kigezo tu amejaza kazi halali ni mjasiriamali; na mtu aliyeenguliwa akate rufaa kwa kuwa hiyo ni kazi halali.

Kadete amesema mgombea ambaye hajajiandikisha kupiga kura kwenye eneo lake ni moja ya sababu ya kukosa sifa ya kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Mtu akatwe kwa kukosa sifa na si kukatwa kwa kudhamiria bali akatwe kwa haki," amesema Kadete.

Semina hiyo ya siku moja ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 imeandaliwa na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).

Mwananchi
Kwanza kwanini mgombea akatwe? Waachwe wananchi wenyewe watajua wanamtaka nani.
 
Back
Top Bottom