Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Inashangaza pale unakuta kichwa cha habari kutoka online TV kinakuwa kama kaandika Lucas Mwashambwa, nilikutana nayo juzi wakati nataka nichukue risiti wakawa wamefuta bana. Kwa jinsi ilivyoweka wallah ule mwandiko ulikuwa wa Lucas Mwashambwa.
======
Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Ofisi ya Rais - TAMISEMI) leo imekutana na waandishi wa Habari za Mitandaoni (Online TV) katika ukumbi wa Ofisi za TARURA Jijini Dar es Salaam wa ajili ya kuwapa mafunzo mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika hivi karibuni.
Kupata habari za kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Licha ya kufundishwa kuhusu kanuni za Uchaguzi lakini pia Waandishi wametakiwa kutoa taarifa bila upendeleo wowote kwa chama kimoja bali vyama vyote vipate haki sawa katika kutoa taarifa hizo.
Inashangaza pale unakuta kichwa cha habari kutoka online TV kinakuwa kama kaandika Lucas Mwashambwa, nilikutana nayo juzi wakati nataka nichukue risiti wakawa wamefuta bana. Kwa jinsi ilivyoweka wallah ule mwandiko ulikuwa wa Lucas Mwashambwa.
======
Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Ofisi ya Rais - TAMISEMI) leo imekutana na waandishi wa Habari za Mitandaoni (Online TV) katika ukumbi wa Ofisi za TARURA Jijini Dar es Salaam wa ajili ya kuwapa mafunzo mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika hivi karibuni.
Kupata habari za kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Licha ya kufundishwa kuhusu kanuni za Uchaguzi lakini pia Waandishi wametakiwa kutoa taarifa bila upendeleo wowote kwa chama kimoja bali vyama vyote vipate haki sawa katika kutoa taarifa hizo.