PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ni mzanaki wa butiamaDuuh hilo kono jeusii sijui likuria hili
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ni mzanaki wa butiama
WAAACHE MKUU HATA JPM WATASEMA WA DAR mikoani wana wivu wa kijinga njooni dar mmekatazwahiv wanaume wa dar ndo kina nan,wanaoish dar ,au waliozaliwa dar,
kuna wengine wametoka mikoan wamekuja dar kutafuta pesa
wengine wamezaliwa dar na kukulia hapo ila sasa wapo mikoan .na wengine wapo mikoan lakin wanatabia za kiwaki waki.nauliza wanaume wa dar n kina nani
Kwa taarifa yako wanaume wa Dar wanasomesha wtt wao shule za private. Hizo [emoji357] [emoji357] [emoji357] fyatua wewe wakasome maana wanaume wa mikoani mnapenda vya bure.Nawasiwasi kama wanaume wadar wataweza kutekeleza agizo la Mh. Raisi la kufyatua halafu yeye asomeshe watoto wote.
Hawa jamaa wanambwembwe sana
Wekija eti wanasema hivi hapa mnaishije pakame hivi??? Pumbaaaafuuuuu
wewe ni mwanamke wa dar?ahahaaa
kitu nawapenda wanaume wa dar ni udhamini wao usio na masharti
udhamini wa riba nafuu
ni wanaume wa dar mkuuhiv wanaume wa dar ndo kina nan,wanaoish dar ,au waliozaliwa dar,
kuna wengine wametoka mikoan wamekuja dar kutafuta pesa
wengine wamezaliwa dar na kukulia hapo ila sasa wapo mikoan .na wengine wapo mikoan lakin wanatabia za kiwaki waki.nauliza wanaume wa dar n kina nani
na kujichubua nyuso zao mkuu umesahau,wanaume wa dar chefu sana,Kuna mambo wanayaweza ambayo wanaume wa mikoani hatuyawezi mfano kulelewa wenyewe husema Marioo, kuchapwa vibao na mijimama inayowalea, kufua chupyi za wanawake wanaowalea, kudhalilishwa mbela za watu na hawajali maana wanajua wakilikorofisha wataolewa na wanaume.
Ukiishi Dar zaidi ya miaka mitano unakuwa mwanaume wa darhiv wanaume wa dar ndo kina nan,wanaoish dar ,au waliozaliwa dar,
kuna wengine wametoka mikoan wamekuja dar kutafuta pesa
wengine wamezaliwa dar na kukulia hapo ila sasa wapo mikoan .na wengine wapo mikoan lakin wanatabia za kiwaki waki.nauliza wanaume wa dar n kina nani
Umesahau kitu kimoja tu mkuu, ngoja nikiongeze. Nadhani umejisahaulisha kwa makusudiAgizo kwa Wanaume wa Dar toka kwa Wanaume wa Mikoani.
Kumekuwa na Tabia kila msiba unapotokea Dar mnajazana kuja kijijini kuzika...
+Mkifika hamchimbi kaburi.
+Hamumlilii marehemu
+Hamumswalii marehemu
+Hamumfukii marehemu
Mnachokiweza na kukaa na kupiga soga. Mmefanya misiba ni vijiwe vya kuzungumzia siasa.
Sasa tunasema hivi. Msiba ukitokea mbaki huko huko . mkija hakuna mnalofanya..
Mfano:
#1. Hata ukifika muda wa chakula unasikia "Wageni kutoka dar waanze kula kwanza"
#2. Siku moja tupo tunachimba kaburi, Tukaletewa maji ya Kunywa ya chupa.. Mzee mmoja akasema "maji ya kunywa yamenunuliwa kwa ajili ya wageni wa dar tu"
Wanaume wa DAR utawataka kwenye mabasi ya mwendo kasi. Ni dakika 30 tu hadi town. Wanavyokimbilia kuwahi viti ili wakae ni aibu. Wamelegea mno jamani.
Kauli hii imetolewa na:
Umoja wa Wanaume wa Mikoani. Wanaotambua maana ya "Uanaume"
Mkuu acha basi mambo yako, hivi mwanaume kama huyu anaanzaje kumtongoza mke/dada wa mkoani!!!!Umesahau kitu kimoja tu mkuu, ngoja nikiongeze. Nadhani umejisahaulisha kwa makusudi
+ Wanaume wa Dar wakija wanawamega sana dada na wake zenu.