Tamko la CHADEMA kuhusu uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama Kuu

Safari hii sidhani kama bwana Biswalo atachomoka..uzuri Mama yupo slow but sure..waongezwe ,Dotto James,Bashite,et al..
 
Hiki chama kina maono ya mbali sana. Baada ya miaka miwili ndipo Mh. Rais ana ona yale yaliyosemwa na Chadema.
 
Hii inadhihirisha ufinyu wa uelewa miongoni mwa wasaliti wetu. Majaji wote wana security of tenure, huwezi kumtoa hivi hivi. CHADEMA wanamchukia Biswalo kwa vile aliwafunga walipoinyea mavi na kuikojolea Tanzania kwa kuimba wimbo wa Taifa eti Mungu Ibariki CHADEMA, nchi kama Saudia au Pakistan wangepigwa risasi hazarani.
Halafu ni DPP pekee ambaye kesi zake zote dhidi ya CHADEMA, moja tu iliyopita ni ya Mbunge Lema wa Arusha aliposhinda Mahakama ya Rufaa. Jaji ni Jaji huwezi kumtoa just like that. Hivi inakuingia akilini eti pleabargaining hela aweke mfukoni mwake. My friend, wanaofanya pleabargaining ni majambazi sugu, drugpushers, moneylaunderers, killers and murderers, terrorists, ambao ushahidi pekee ni maiti, utakubalije uchukue hela zote hizo? Zitakaa wapi? Chuki ya Jaji Biswalo inawatafuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…