Tamko la Mwakyembe juu ya mgao wa umeme

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855


Huyu mheshimiwa aliwahi kusema kuwa "hatokosa usingizi na hatojali kama taifa letu tukufu likiingia kwenye giza kwa kukosa umeme"

Nadhani its about time na yeye aje atoe tamko lake kwa nini yeye anaona ni sawa kwa waTanzania na baadhi yao wapiga kuwa wake kuendelea kukosa umeme na huduma zingine muhimu.

Mashabiki wake ambao wanajiita wapiganaji waliopo USA,ULAYA na CANADA najua watakuja kumtetea lakini nadhani itakuwa si vibaya kwa huyu bwana Mwakyembe akaja kutoa tamko ili tujue maoni yake kuhusu hii adha, je imebadilika au la?
 
Mods, mnaweza kubadilisha title ya thread hii?

Nilijua jamaa tayari katoa tamko, kumbe waaaaaaaaapi!
 
Tusubiri mpaka lile dili lake la umeme wa upepo kule singida litakapokubaliwa na Tanesco na kuingia naye mkataba wa kifisadi na wizara ili apate mshiko that is what he wanted, otherwise atapiga domo...utafikiri ameng'atwa hana jipya "opportunistic na fisadi"
 

wewe inaelekea eidha umelalaau ndio habari za ndani aka nyeti hujazipata

walewa Korea wameamua kupunguza shares za mwakyembe and Co kwani wao walitaka kufanya mambo kama wafanya biashara akina MWAS waliamua kuplay politics ...ilifika point jamaa hadi kuwaona wahemishiwa ilikuwa ngumu na haliilitengemaa baada ya kumwomba Ban awasaidie kwenye ile party iliyofanyoka NY mwezi wa 4

mienasubiri kwahamu sana tamko lake huyu MWA
 
Kama mambo yako hivo atakuja kutamka nini zaidi kukaa kimya...atakuwa hana maslahi...kwasababu ukiona anapiga kelele ujue ana maslahi...au kuna watu wanataka kuchukua kikombe chake.
 
Kama mambo yako hivo atakuja kutamka nini zaidi kukaa kimya...atakuwa hana maslahi...kwasababu ukiona anapiga kelele ujue ana maslahi...au kuna watu wanataka kuchukua kikombe chake.

swadakta


sasa hii ya kuja na sura ya eti ohhh wapiganaji mara ohh sijui hatutaki umeme wa Dowans wao wanajua...mtego wenyewe ni upi na kwa jinsi ulivyokaa nadhani hawana namna sasa hivi inabidi waanze kurekebisha na kutengeneza allies
 
swadakta


sasa hii ya kuja na sura ya eti ohhh wapiganaji mara ohh sijui hatutaki umeme wa Dowans wao wanajua...mtego wenyewe ni upi na kwa jinsi ulivyokaa nadhani hawana namna sasa hivi inabidi waanze kurekebisha na kutengeneza allies
Kutengeneza allies ili wote watengeneze umeme? Hapo atakuwa jasiri kifisadi....anything can happen..kama alitaka kuwa business man nafikiri anaweza kuendelea kutafuta allies wengine pengine usishangae "Chinese company ika side na MWA
 
huko nyuma the subject allielezewa hivi:
sasa kilichobaki naona baada ya waKorea kumbadilikia ameamua kutauta upande wa pili ..btw kuna habari Mwakipesile keshajoin jf!
 

This senseless polarization cannot pass unprotested.

there are people in those named regions who root for Mwakyembe, equally, there are those in these very places who despise him.

Conversely, there are people in Tanzania who root for the MP, as well as those in Tanzania who do not like him.

So why the senseless and baseless polarization? Wewe kama umeamua kurudi bongo au umerudishwa au whatever the case is that is your issue, kwa nini kuwa pigeonhole an entire mass of Tanzanians just based on where they are?

This just exposes your shallow thinking and lack of honesty where you can do much better to elevate the level of discourse on these fora.
 
mwakyembe bana kumbe kelel zote zile na wewe una kampuni lako la umeme wa upepo..hahaaaaaaaaa
 


Mbona hii habari ina habari sana ndani yake ? Kuna mtu yuko bongo sasa anaugulia ama ?Haya wacha niendelee kusoma hili bandiko
 


GT unafuka moshi sana!
 

"we fisadi nini?, tamko la nini hujasikia matamko anaongelea kuhusu richmond?, au ndo wale wale.
 
Hii thread ina input yeyote? Km vp Mods iwahisheni kunakohusika (dust bin)
 
hehehe!rafiki yangu gt naona amejichanganya
 
mwakyembe bana kumbe kelel zote zile na wewe una kampuni lako la umeme wa upepo..hahaaaaaaaaa

kumbe na yeye alikuwa anagombea masilahi lol nchi hii ina viongozi wa ajabu sana
wenye uchungu na nchi ni kina nani ??
 
Vita nzuri ni ile ambayo pande zote zinapata majeruhi au maafa sawia. Timu zinapokuwa uwanjani haipendezi moja kufungwa magoli 20 kwa bila, ni kama Tyson kupigana na Karubandike mchunga mbuzi.

Ufisadi ndiyo hasa vita iliyopo. Mafisadi yana nguvu sana kwa jeuri ya pesa yao, lakini sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Wewe unataka kuingia kupigana vita halafu ukijeruhiwa kidogo tu unalalama hivyo? Mgawo wa umeme ni silaha ya mafisadi, acha Mwakyembe na wenzake wakiungwa mkono na wananchi waendelee kupiga vita ufisadi dhahir, ipo siku Tanzania itaendelea bila jeuri ya mafisadi. Sasa tununue marapurapu ya dowans kwa bei ambayo ingeweza kuleta mashine mpya kama zilezile, kwa sababu tu kuna mafisadi fulani wameahidiwa 50%?

Songa mbele Mwakyembe, unao watu kibao nyuma yako. Tukubali kuwa masikini jeuri ili kujikomboa.

Leka
 
Tutende haki jamani,kazi ya kuzalisha umeme na kuweka mikakati ya umeme endelevu ni ya TANESCO kwani tunalipa kodi zetu na umeme pia tunaulipia. Mwakyembe alitekeleza majukumu yake.

Kila mtu akitekeleza majukumu yake haya mambo yatabaki kuwa historia.Pia, Biashara na siasa haviendi pamoja,kila mtu anaingia kwenye siasa kwa maslahi ya kibiashara. Inapotokea mtu anatakiwa kuchukua maamuzi magumu anashindwa kwani ataharibu maslahi yake ya kibiashara.

Kila mtu atekeleze wajibu wake,kama mwanasiasa fanya kazi yako,watumishi wa TANESCO fanyeni kazi yenu, wanasheria wafanye kazi zao,kila kitu kitaenda sawa. Kama kuna watu wanafanya kazi zao na wengine wanafanya kuturudisha nyuma hatutafika popote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…