"Tamko la Pinda"

Heheheheee...kwa hiyo alipima makosa na mafanikio wakati akiondoka...vipi wakati bado yuko mtawala...? alikubali makosa yoyote yale?

ndiyo.. hiyo alichoandikia "Tujisahihishe" aliandika kwa kirefu wakati akiwa bado Rais!!
 


I agree, our holy book speaks about forgiving Pinda: Hadith - Qudsi 1, Hadith - Qudsi 31, Hadith - Qudsi 34, Sûrah an Nûr 24:22, Sûrah ash Shura 42.40, Sûrah ash Shura 42:37

After all what he has said is warranted by: Sûrah al Isra 17.33, this allows for the just cause of killing the murders of albinos(of cause after due legal processes).

Asha
 
ok as long as ni binadamu hawezi kuwa perfect katika matendo yake ya kila siku.
amekosea,amekiri,muacheni aendelee kuchapa kazi.

Hii ndiyo gharama ya kuwa Kiongozi, lazima viongozi wetu wajue kuwa kuongoza si kukaa katika Ofisi, kulipwa marupurupu na kusign maazimio ni pamoja na matendo na kauli zako. Kama pinda akifanya hivi basi huu utakuwa mwanzo mzuri wa kuutazama uongozi kihuduma zaidi ya kibiashara na faida. Maana kama wewe kichwa chako hakipo sawa ni lazima utakataa ofa kama hizi kwa kujijua uwezo wako, badala ya kukimbilia ulaji unaweza kukutokea puani badae.

Siku zijazo katiba yetu itoe muda wa kuwajadili viongozi kama hawa zaidi kabla ya kuthibitishwa na bunge na kuwaapisha. Nina uhakika kabisa akili kama hizi (ambayo ilimpata pinda kwa muda) wengine wanazo forever ndizo zinzoturudisha nyuma kimaendeleo.

Mwisho kama ni kweli Pinda atatoa tamko hilo basi JF na Mwanakijiji na wachangiaji wote tunastahili credit kwani ukiangalia tamko limechukua baadhi ya vipengele humu na kuvifanyia kazi. "HUO NDIYO UONGOZI"!!!
 

Credit za nini sasa?
 



Right on!!!
 
pamoja na kuwa Pinda kakiri makosa hatuna budi kukweshicheni utendaji wake wa kazi mi naona ka msindikizji... eti wadau?
 
Watanzania bwana.......yaani watapiga porojoo weee kakiri wazi nimemsikia na katoa machozi.....sasa mnataka nini? kuna mambo mengi ya kujadili sio hili

...Wee Mkuu, umeona machozi ndio kipimo cha kupimia his Sincerity? Machozi? ustake ncheke! Mbona actors wetu are doing the machozi thing all the time! It is just Plain acting!! Ni vibaya sana kuongozwa na mtu ambaye anaruhusu hisia zake kutake over his common sense. You never know what his hisia will make him do next time! He shud' GO!
 
Kitendo amefanya Pinda ni kitendo ambacho ni viongozi wachache wa Tanzania akiwamo raisi wetu JK wana ujasiri wa kukifanya.

Mara nyingi nimekuwa nikiona viongozi wetu wakikana kabisa maneno yao waliyotamka na mara nyingine wakitumia mbinu ya kuyakwepa kwa kutishia waandishi wa habari kwamba watawapeleka mahakamani.

Pinda kakubali kweli kabisa kwamba aliyatoa na kwamba kwa yale aliyoyaona ambayo wengi wetu hapa kama yangekuta angalau mdogo wako au ndugu yako wa karibu ni hatua ungechukua bila kuuliza sheria, yaani kumuua huyo muuaji.

Sasa jamani yeye kakili na kaomba radhi kwa kauli yake iliyojaa huzuni na hasira dhidi ya wauaji.

Kaikana hadharani kauli hiyo. Na kaomba asamehewe kwa kuitoa akiwa amejaa hasira, je kuna sababu ipi ya kuzuia asisamehewe?

Mimi binafsi huwa nafikiri kama je itakuwaje siku nikikuta na kumkamata muuaji akimkata kiungo albino? Je nitamuacha tu aendelee na ufedhuli wake?

Je, nitapata ujasiri wa kumwambia mtu aliyeshikilia panga au shoka kuwa weka chini twende polisi?

Au nitatoa tu neno 'we muuaji uko chini ya ulinzi' na yeye afyate mkia?
Jamani jaribu kufikria yote haya kabla hamjaanza kulaumu bila msamaha kwa Pinda!

Pinda pole sana. Mi nimekusamehe na nina hakika wengi watakusamehe maana kwanza wewe ni muungwana kuliko viongozi wetu wengi hapa nchini.

Nakumbuka wengine waliwahi kutwambia 'go to hell' na wengine 'mle nyasi' na hawakujutia kauli zao hizo. Wewe umekiri hadharani na kuomba radhi kwa matamshi yako. Nakusamehe.

Nina hakika hutasamehewa na waganga wa kienyeji(Wachawi) na followers wao wanaokwenda kila leo kupata service kwao. Hawa ni pamoja na viongozi wa serikali na hata nyie wabunge.

Na hivi viungo inasemekana vinawasaidia waungwana hao kupata utajiri, kushinda ubunge, na sometimes hata kupata vyeo, bila kusahau kuwa wajinga wa kutupa pia Grrrrrrrrrrrrrrhhhh
 

Mkuu, hapo kula tano! Eti machozi ni sincerity! mmesahau machozi ya Clinton? Kwikwikwi!
Eti hisia zake zilimzidi! Mistake! Big mistake! Alafu kibaya zaidi alirudiarudia makosa sasa kabanwa anajifanya analia! Ah! mi nasema huyu jamaa kachemka big time! Amefanya instigation ya wananchi kuuana and his flimsy excuse ni kulia!
 
Kwa hiyo waungwana,mnataka kuhitimisha kwa kusema kuwa a fair and balanced option of the PM ni kwa yeye kuachia madaraka???Hakuna namna nyingine?I see people keepin on pressin that he SHOULD GO!!
 
Yaani imefikia hatua ya kumpangia Waziri Mkuu hotuba..... Haya
 
Kwa hiyo bado mnataka ajiuzuru?

Mkuu inabidi tuwe na ustarabu. Kama mheshimiwa ametambua kosa ambalo tuliliona, na amekubali kuwa amekosa, kuna dhambi gani kuheshimu uungwana wake? Aisye muungwana akifanya kosa hwa anaendelea kuwa Nunda na kutetea makosa yake kwa kukejeli wengine. Mh Pinda hakufanya hivyo, nadhani kwa busara hiyoanapaswa kuheshimiwa, na ametuachia mfano mzuri sana. HONGERA WAZIRI MKUU PINDA.
 
Dear Mwanakijiji,
I do respect your views, but I beg to disagree with you on this matter of the PM's resignation.

Why don't you assume that the PM has been overwhelmed by the ongoing killings of the Albinos and that's what led him to that statement. I have tried to imagine if one of us had a close family member who happened to be an Albino and suddenly disappeared? How would you retaliate if you catch a person on the process of trying to kidnap your family member? I rarely post articles on this forum, but I felt compelled to add my few cents.

I am worried sometimes how the opposition parties react to some issues. Their solution is always for one to resign, but instead of accepting it as a human error and lay down their solution to the problems. Any caring citizen who believes in humanity would react the same way the PM did. I would rather accept his apology and unity to find solutions to this problem, which is becoming a national crisis.

I think there is a need of declaring a national crisis that requires collective efforts to fight the perpetrators. This is not a time to gain political leverage on the expense of the Albinos. All interest stakeholders have to come together and find a solution. I would have been so impressed if Dr. Slaa himself would take initiative and host some albinos from his own constituency.

At least Waziri Mkuu has adopted a child who might have become a victim and another number. Resignation would not solve the problem. I am not defending his statement, but the statement does not require his resignation. We should bear in mind resignation is also costly for our nation.

Lets leave our politics aside and work for a solution.
 

- Waziri Mkuu wa Tanzania, amesimama mbele ya Bunge la wananchi na kusema maneno humbling kama haya, basi Tanzania tuko njiani kuelekea kwenye utawala wa uwajibikaji, binafsi nimeridhika sana na haya maneno kwamba ni sincerely na ni ya kweli kutoka kwa bin-adam kama mimi ambaye ameona makosa yake,

- Huyu hakujizulu na kulia huko mbele kua hakupewa nafasi ya kujitetea, amepewa nafasi ya due process na ame-raise to the standard ambayo wengi hatukuitegemea, Waziri Mkuu wa Tanzania kwenda this low na kuomba radhi bunge tukufu la wananchi, kwangu inatosha na nimemsamehe, na Mungu amzidishie moyo wa namna hii wa kusimama mbele ya Pilato na kubeba msalaba wake, na Mungu Aibariki Tanzania.

Thanxs!
 
Yaani sijui nikupe nini ypu have said it all..mimi binafsi nina ndugu yangu mbaye ni albino na ninaumia sana kuona watu wengine wanashabikia na kauli ya PM....
 
Pinda is a hero and a true man.... If he really cried, he is proving to me that he is crying for his people. He is more of a man than all of them in that Bunge. Please give the man the respect he deserves.

I wish Mwanaskijiji could seek an interview with this guy. If Mwanakijiji is really a catalyst of change and a true journalist he will come back with great feedback. I am always weary on politicians, but the first time I had a chance to listen to Pinda speak, I had hope for our Nation. He is a good and ethical guy, unfortunately he is caught up in the presence of wrong company.

That said I am glad he had the guts to tear up in front of all those man. I am not affiliated with any party, but sometimes these opposition parts are quick to point fingers without offering any solution. This kind of attitude just has to stop. There comes a time we need to stand up as a country and work on common goals. Lets not throw punches for the sake of gaining popularity.

If Pinda decides to resign, then what's next? Most likely they will just replace him with another CCM dude, with similar policies. Think for a minute. Once again, this is not an issue to force any individual to resign period! Bravo Pinda. Your words are so sincere and should not be doubted regardless of your affiliation with CCM.

God Bless you Pinda and God Bless Tanzania.
 
Last edited:
Mwana KJJ na kundi la mlengo wako katika thread hii mie nina swali:-
Hivi Waziri Masha anatakiwa kumheshimu PM Pinda? Hivi Waziri Sophia Simba anatakiwa kumheshimu PM Pinda? Hivi Boss wa UWT na POLISI, wanatakiwa kumheshimu PM PINDA?

Hawa watu wote kama alivyo PM mwenyewe, wamechagulia na Rais kikatiba. Sasa kama wote tumechaguliwa na JK, hivi si wote tuna nguvu sawa? Sanasana mmoja ana madaraka zaidi ya mwingine ila HAKUNA kutishiana NYAU. Kwa hiyo kama hawa watu wawili wakiamua kumdindia Pinda, atawafanya nini? Hata ile barua waliyomshitaki Masha kwa Pinda, je Pinda anauwezo wa kumuondoa Masha/Simba?

Ndugu Zitto, tuseme kuwa jitihada za Pinda zote kuwalazimisha Masha na Sophia Simba walishughulikie swala la Albino limekwama. Huyu Mzee akaamua hadi kwenda kurithi Albino mmoja kwa uchungu wake. Hakuna aliyemlazimisha kuchukua albino. Na hili kwake hahitaji kulifanya ili kupata credit, kwani alivyoingia hapo kaja kwa gia ya JK/CCM na wao ndiyo wanaweza kumtoa kwani hata kwa kura upinzani peke yake hamfikishi idadi ya kumtoa Pinda madarakani. Hivi PM wetu afanyaje? Naombeni MJITAHIDI huko BUNGENI ili katiba ibadilike na SERIKALI ya TANZANIA iongozwe na BARAZA LA MAWAZIRI. Chama tawala kichague PM, na PM achague baraza lake la Mawaziri. Kukitokea KOSA au uzembe kama huu wa ALBINO, basi ni PM moja kwa moja MHUSIKA kwani hawa aliowachagua ni watu wake. Nafikiri itasaidia sana watu kujua nani ashikwe shati.

Muono wangu:- " Machozi aliyotoa yalikuwa yamesababishwa na uchungu wa UNATAKA KULISHUGHULIKIA JAMBO, UNAFIKIRI UNA NGUVU NA UWEZO WA KUFANYA HIVYO, ILA KIKATIBA YA TANZANIA INAKWAMBIA HUWEZI FANYA KITU.."
Ukitaka kuliona hili, ona wale Wapalestina ambao ndugu zao wametandikwa risasi, wanalia na wanahamu ya kulipiza kisasi, ila unakuta ndiyo kwanza F16 na Apache ziko angani zikisubiri ufanye fyoko, na wewe wakumiminie risasi zako. Unabaki tu kulia na kusema " Mungu ni mkubwa, one day ....."
 
Kudos kwa Pinda, na nyie mnaosema hatuwezi kuwa na viongozi wanaolialia mmechemsha viongozi wengi wametoa machozi mfano Bush(akitoa pole kwa familia za wanajeshi walio KIA) rais wa China alilia kwenye national tv wakati wa earthquake. Case closed kama upinzani walitaka cheap political points kwenye hili ngoma bila bila[IMO]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…