Tamko la Rais mkoani Morogoro kuhusu NIDA mpaka sasa hivi mrejesho wake ni upi..?

Tamko la Rais mkoani Morogoro kuhusu NIDA mpaka sasa hivi mrejesho wake ni upi..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Mbona kama NIDA bado haieleweki hata baada ya rais kutoa tamko kule morogoro kwa kumtaka mkurugenzi wa NIDA kutatua changamoto hii ya upatikanaji wa huduma ya vitambulisho vya taifa..?

Nini mrejesho wa NIDA kuhusu utekelezaji wa kusambaa wilaya zote ili watu wapate vitambulisho kabla ya azimio la kufungiwa laini zao bila kusajiri kwa vidole na kitambulisho Cha NIDA..?

Wanatuweka juu juu,watu hatuna vitambulisho na muda nao unayoyoma.. wajiandae kisaikolojia kupambana na usajili batili Kama Mambo yataenda hivi.

Pia Kuna kuja kuingia mgogoro na makampuni ya simu Kama wakifungia wateja ambao hawajajisabiri,hili swala Kama halipo kisiasa kwanini upatikanaji wa vitambulisho vya taifa unakuwa wa kusuasua..?

Au mpaka atoke mbuzi wa kafara ndo mambo yaeleweke!

Mnatupa tabu.
 
Subiri Siku, mwezi au mwaka ambao Rais atakuwa na ziara huko Morogoro
Kuna hili tatizo jengine muda wa kupata kitambulisho mtu anasajiri mfano mwanza atasubiri mpaka aote tendegu!! Mwishowe mtu anahamia mkoa mwengine hlf anakuja kusikia vitambulisho vimefika!!! Kuwekeana gharama tu
 
Mbona kama NIDA bado haieleweki hata baada ya rais kutoa tamko kule morogoro kwa kumtaka mkurugenzi wa NIDA kutatua changamoto hii ya upatikanaji wa huduma ya vitambulisho vya taifa..?
Nini mrejesho wa NIDA kuhusu utekelezaji wa kusambaa wilaya zote ili watu wapate vitambulisho kabla ya azimio la kufungiwa laini zao bila kusajiri kwa vidole na kitambulisho Cha NIDA..?

Wanatuweka juu juu,watu hatuna vitambulisho na muda nao unayoyoma.. wajiandae kisaikolojia kupambana na usajili batili Kama Mambo yataenda hivi.. pia Kuna kuja kuingia mgogoro na makampuni ya simu Kama wakifungia wateja ambao hawajajisabiri,hili swala Kama halipo kisiasa kwanini upatikanaji wa vitambulisho vya taifa unakuwa wa kusuasua..?
Au mpaka atoke mbuzi wa kafara ndo mambo yaeleweke!!
Mnatupa tabu.
Nida ni janga.
Cha kushangaza Magufuli alishamtumbua kidhalilishaji mkurugenzi pale, aliyepo sasa hivi naye pia ni kama ngiri.

Mnyama ngiri akikoswakoswa kuliwa na simba, husahau muda huohuo hatari iliyopita punde na kurudi eneo la tukio kuendelea na mishe zake zilezile.

Huo ni mfano kwa Nida, tunaona Nida kama ni genge la wapigaji lililoizidi maarifa serikali na kuitia mfukoni.

Haiwezekani watu walishajaza nyaraka zao zikakamilika miaka miwili iliyopita, hadi leo wapewe namba tu bila vitambulisho kukamilishwa.

Usajili wa simu umewavua nguo Nida na kuwaacha uchi kuonesha sura zao halisi.
 
Nida ni janga.
Cha kushangaza Magufuli alishamtumbua kidhalilishaji mkurugenzi pale, aliyepo sasa hivi naye pia ni kama ngiri.

Mnyama ngiri akikoswakoswa kuliwa na simba, husahau muda huohuo hatari iliyopita punde na kurudi eneo la tukio kuendelea na mishe zake zilezile.

Huo ni mfano kwa Nida, tunaona Nida kama ni genge la wapigaji lililoizidi maarifa serikali na kuitia mfukoni.

Haiwezekani watu walishajaza nyaraka zao zikakamilika miaka miwili iliyopita, hadi leo wapewe namba tu bila vitambulisho kukamilishwa.

Usajili wa simu umewavua nguo Nida na kuwaacha uchi kuonesha sura zao halisi.
Mi nahisi hili Jambo linatumika kisiasa na Kuna mbuzi wa kafara tayari!!
 
Huko NIDA kuna watu wana kiburi sana.Yaani kama huna roho ya uvumilivu unaweza kuachana na zoezi hili na kuamua wakupeleke nchi wanayodhani unatoka.
 
Mbona kama NIDA bado haieleweki hata baada ya rais kutoa tamko kule morogoro kwa kumtaka mkurugenzi wa NIDA kutatua changamoto hii ya upatikanaji wa huduma ya vitambulisho vya taifa..?

Nini mrejesho wa NIDA kuhusu utekelezaji wa kusambaa wilaya zote ili watu wapate vitambulisho kabla ya azimio la kufungiwa laini zao bila kusajiri kwa vidole na kitambulisho Cha NIDA..?

Wanatuweka juu juu,watu hatuna vitambulisho na muda nao unayoyoma.. wajiandae kisaikolojia kupambana na usajili batili Kama Mambo yataenda hivi.

Pia Kuna kuja kuingia mgogoro na makampuni ya simu Kama wakifungia wateja ambao hawajajisabiri,hili swala Kama halipo kisiasa kwanini upatikanaji wa vitambulisho vya taifa unakuwa wa kusuasua..?

Au mpaka atoke mbuzi wa kafara ndo mambo yaeleweke!

Mnatupa tabu.
kama ujapata si ukae kimya tu wewe toka 2013 tukubembelezee kitambulisho nyie watu mmekua wavivu sana sie mbona tumepata
 
wewe tulia toka kipindi hicho ulichua hatua gani nyie ni wavivu wa kufutilia mambo ya maana ungeambiwa kuna kigodoro ungefutilia sana.
Ha ha ha! Unavyoandika kana kwamba unanifahamu kunguni mmoja wewe usie na punje ya akili hata tone! Hiyo 2013 wengine tulikuwa hata hatujatimu miaka 18 hata sijui kuwa kulikuwa na utambulisho wa taifa Bata wewe!
Na vitambulisho hivyo vilianza kwa kupewa watumishi wa serikali kenge usiejua wewe! Na walianza kwa awamu kupewa wananchi ktk mikoa hakuna vituo maalum vya moja kwa moja! Hivi unaelewa nachokiandika au..? Kaa ukijua zoezi lenyewe ni changamoto lukuki mpaka leo kufika hapa ni kazi kwelikweli.. unaanza kupata namba kabla ya kitambulisho! Ndo nini Sasa..? Kitambulisho Cha kura unakipata kwa haraka kushinda Cha utaifa!! Hivyo wapiga kura hata wakiwa walowezi sawa ila wataifa ndo wahakikiwe what is what there..? Mkuu Kuna Mambo mengi ya kuhangaikia kapambane bayo Kama unacho kitambulisho unajichosha bure kupambana na wasionacho mpk na akili tukuazime! Boya maji wewe.
 
Back
Top Bottom