Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!Kifo cha kujitakia hiki,huyu Ndungai alijidharaulisha mwenyewe kwa kukubali kutumika kiboya enzi za yule dhalim aliyeko motoni sasa, anavuna alichopanda
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndugu unasahau kwetu huku siasa ni kazi ya watu wengi walio masikini. Wao wanawazia matumbo yao na ya familia zao hayo mengine yatajipanga yenyewe.CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;
. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.
Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.
Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Si ilishatungwa sheria kuwa spika hashtakiwiAngenyang'anywa kadi ya uanachama na uspika ungekoma. Baada ya hapo ukumbuke kuna kufilisiwa hasa zile mali alizopata kwa njia zisizo halali. Kuna kesi za uhujumu uchumi zingemfuatia.
Ameona mbali sana kwa kuja kutubu mbele ya hadhara kabla mambo hayajamwaribikia. Baadae mngeanza kumcheka unajua sisi Watanzania ni wanafiki sana
Unawajua ccm vizur wewe? kuna mtu alikua na nguvu kama Lowassa? na tukaaminishwa kwamba atameguka na kundi la maana,lakini kilichomkuta si unakijua? hao ndo ccm,huyo ndugai akila chuma atajikuta yuko yeye na familia yake tu.Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!
Mlifikiri wanaoimba katiba mpya wajinga?CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;
. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.
Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.
Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Ayub alishajimaliza kisiasa toka 2015. Wakati Prof Assad (CAG) alipohoji matumizi mabaya ya fedha Za Serikali bila idhini ya Bunge, alikaa kimya akamuundia zengwe na kumdhalilisha Assad hadi akafukuzwa na JPM kwa kufanya hivyo muhimili wa Bunge ukafa ukabaki muhimili mmoja tu.Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
[emoji106][emoji106]Kifo cha kujitakia hiki,huyu Ndungai alijidharaulisha mwenyewe kwa kukubali kutumika kiboya enzi za yule dhalim aliyeko motoni sasa, anavuna alichopanda
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya🔰 TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
Mwenyekiti wetu HAKOSEI.....🔰 TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
😍🔰 TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
Mnafiki wewe.....Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya
Hao watu hapo nyuma ni ma C in C?Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!
Yaani suala siyo hilo yaani ule utoaji wa siri za IkuluMnafiki wewe.....
Usipomtii mwenyekiti wako UNAJIMALIZA MWENYEWE KISIASA.....
SIEMPRE CHIEF MKUU HANGAYA🙏