Tamko la wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa

Jamani mpaka sasa hivi saa kumi kasoro. Tamko liko wapi?
 
CCM kula kula maslahi na chawa walishajifunzaga kwa Magufuli baada ya somo la kina JK na Lowasa na Membe ule mpauko ulivyozoa zoa wengi...hapo walitoka na tuition ya kuwa muda wowote wewe kaa na Mwenyekiti/Rais wa wakati huo vizuri iwe kwa kujipendekeza ama vyovyote ili mradi siku zisonge hadi itakapotokea tuition nyingine huko mbele ya safari

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya
Assumption hizi kigogo kamtukana sana mbona. Mange ni mchumia tumbo na alikuwa anatamani kurudi hapa tz. Sasa alazima apambe sana la sivyo hata kiapp chale kingefungiwa kama alivyofungiwa namba za kupokea mpesa wakati wa magu
 

Mungu mbariki Ndungai ajinyonge salama!!! Amina
 
Unafiki ndio tatizo,ila suluhisho la haya yote ni KATIBA MPYA
 
Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya
Naomba unitag kwenye huo uzi nikaperuzi kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…