Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 10
kuna kijitarifa kinaeleza kuwa SMZ wametowa tamko la kutokuwa tayari kumuona Jk anangatuka URAIS kabla ya 2015, kwa shindikizo la kikundi fulani au mtu fulani,ikitokea hali hiyo wao watameguka.
Last edited by a moderator: