Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 10
kuna kijitarifa kinaeleza kuwa SMZ wametowa tamko la kutokuwa tayari kumuona Jk anangatuliwa URAIS kabla ya 20015,ikiwa kwa sindikizo la kikundi fulani au mtu fulani,ikitokea hali hiyo wao watameguka.
si hivyo tuuu
wamesema hivyo vitambulisho veyenu viishie kisiwa cha CHUMBE
kuna kijitarifa kinaeleza kuwa SMZ wametowa tamko la kutokuwa tayari kumuona Jk anangatuliwa URAIS kabla ya 20015,ikiwa kwa sindikizo la kikundi fulani au mtu fulani,ikitokea hali hiyo wao watameguka.[/QUOTE]
kwani wanasubili nini mpaka sasa? si waanze tu? na kama wanammindi sana wamchukue huko huko kwao, kwanza sie wengine tulisha mchoka na uvasco dagama wake na kukumbatia mafisadi! ebo!
kuna kijitarifa kinaeleza kuwa SMZ wametowa tamko la kutokuwa tayari kumuona Jk anangatuliwa URAIS kabla ya 20015,ikiwa kwa sindikizo la kikundi fulani au mtu fulani,ikitokea hali hiyo wao watameguka.
si hivyo tuuu
wamesema hivyo vitambulisho veyenu viishie kisiwa cha CHUMBE
Mambo mengi ya ajabu ajabu ya Bara mwisho wake ni kisiwa cha Chumbe.Kwa hiyo wametupa Kisiwa cha Chumbe siyo? Siyo Zanzibar kile?
Sijaelewa, kindly explain
May be we need themwho wants them anyway? for what?