Tamko: Sitaki shobo

Hahahahah gelofriend kwa hiyo hupendi tumuombe beer bwa shem? Me nakunyagwa azam Malta tu, si naruhusiwa kumuomba eeh?
 
Mrembo wangu nani anakuzingua nimfanye UFOSAROLISTION
 
Haaa! Kwani akiimbwa shemeji wewe unasumbukaje
Njaa kali ujue
Aaah huyu junior member hapa ndani atakosa pampers buana
msululu wa waombaji ni mrefu ohoooo tena wanywaji kweli akiwekwa kati kaunta itabaki nyeupe
 
Mrembo wangu nani anakuzingua nimfanye UFOSAROLISTION

Waomba ba bia tu wa humu, hawanizingui ila nawaambia wapunguze au wajigawe
wengine wakuombe wewe wengine waende kwa ze boss wengine kwa asprin n.k
 
Gelofriend kila mtu akipewa bia ntakosa hela ya kununua zubeda ya kupangia nguo zangu
Hahahaha Acha uchoyo bana, kizuri kula na wenzio. Ila nimecheka jamani, nimekuaminia gelofriend huna utani kwenye asset yako, unakaba hadi profile teh
 
Hahahah kweli abiria chunga mzigo wako........


Umetisha


Ila.nao wamejua kujilipua
Mi najiulizaga mtu anaekaa anatoa toa namba kwa wanaume wa mtandaoni hana mwanaume?
haogopi? Unatoaje namba kwa mtu usiemjua, yani kirahisii naomba namba na unatoa
i am so wonders
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…