Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #61
Ha ha ha
Jamani unataka bierre tukanywe wapiii!
Nnalinda hadi profile, wote wanaotembelea profile yake nimewaandika kwenye diary ha ha ha
Nnalinda hadi profile, wote wanaotembelea profile yake nimewaandika kwenye diary ha ha ha
Ndo mumchague lowasa ila ashushe bei kila mtu ajinunulie usumbufu sitaki bana
Ukiomba sigara kali hauna madhara kabisaUnakaba mpakaa kona.!!
Naomba id ya shem nimwombe hela ya sigara kali.Hiyo hujakataza
Nnalinda hadi profile, wote wanaotembelea profile yake nimewaandika kwenye diary ha ha ha
Aaah huyu junior member hapa ndani atakosa pampers buanaHaaa! Kwani akiimbwa shemeji wewe unasumbukaje
Njaa kali ujue
Umemuona Wapi Eli79Haya.....
Mweeeeh...!
Umeomba bia kwa huruma ndo maana nmechekaWifi mbona wancheka atii
Gelofriend kila mtu akipewa bia ntakosa hela ya kununua zubeda ya kupangia nguo zanguHahahahah gelofriend kwa hiyo hupendi tumuombe beer bwa shem? Me nakunyagwa azam Malta tu, si naruhusiwa kumuomba eeh?
Mrembo wangu nani anakuzingua nimfanye UFOSAROLISTION
Hahahaha Acha uchoyo bana, kizuri kula na wenzio. Ila nimecheka jamani, nimekuaminia gelofriend huna utani kwenye asset yako, unakaba hadi profile tehGelofriend kila mtu akipewa bia ntakosa hela ya kununua zubeda ya kupangia nguo zangu
Mi najiulizaga mtu anaekaa anatoa toa namba kwa wanaume wa mtandaoni hana mwanaume?Hahahah kweli abiria chunga mzigo wako........
Umetisha
Ila.nao wamejua kujilipua
Elli yupo matakko bar anakunywa biereUmemuona Wapi Eli79
Leo ni siku ya 100 ndo maana nmetoa tamkoyamekuwa hay tena watu wanasaidian cku moja moja