Tamko wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu limenikuna sana. Fundisho kwa wanasiasa vilaza!!!!

Tamko wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu limenikuna sana. Fundisho kwa wanasiasa vilaza!!!!

chidide

Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
91
Reaction score
9
Safi sana vijana, uvccm ilikuja na siasa tope. Kwa nini UVCCM itumike kuwachafua watendaji wa Serikali instead of wanasiasa wanaotekeleza sera za CCM? Walitakiwa kuanza na Wazirir Mkuu then waziri anayehusika na bodi ya mikopo, maana watendaji wao wanafuata sera inasemaje. Kwa nini tuwaonee watu wanaohangaika na kazi za utendaji kila siku huku vipato vyao ni vidogo? Wizara ina waziri na manaibu wake, hivi wanfanya nini katika hili? Kwa nini Ridhiwani unawaonea wazee wa watu ambao ni kama baba zako kwa kuwaita wazembe? Hivi unafikiri wewe ni special one? Umesahau ulivyokuwa una desa chuo? Hii si adabu, nasema kuweni waangalifu na muwe na adabu.
 
rz1 anakosea sana.anajiona ye ndo raisi.bado kidogo hii itamcost kwelikweli
 
Sasa tamko lenyewe liko wapi?
Wengine tuko huku Ughaibuni hawatupendi nasi hatuwapendi.
Tupe basi hilo tamko kirefu kisha maoni yako tutayaelewa.
 
Hapo Mkuu umenikumbusha kitu. Kuna tetesi kuwa Bw Ridhiwani alikamatwa( alifail exams vibaya) na akawa Discontunued pale Mlimani na kisha akarejeshwa tena shule kwa mgongo wa Faza wake enzi hizo JK akiwa Mambo ya nje. Na vipi kuhusu Masters yake huko UK?Amegraduate? Wenye data naomba mtupe hapa tumjadili na tumfahamu vema huyu kijana.

Nawasilisha
 
Tusaidieni hilo Tamko wakuu ili nasi tulione na kulifanyia tathmini.
 
Tamko la wanafunzi wa chuo kikuu au tamko lako binafsi?
good point though!!
 
Uliyeanzisha mjadala: Toa hilo tamko basi au umesahau linahusu nn??Msaada kwa aliye-come acros!
 
Back
Top Bottom