Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea TAMMY ABRAHAM jana alifungia timu yake ya AS ROMA goli pekee lililoipeleka klabu hiyo fainali ya #UECL katika ushindi wa jumla wa magoli 2-1 dhidi ya LEICESTER CITY.
-
ABRAHAM amefunga magoli 25 msimu huu kwenye michuano yote akiwa ndio mchezaji pekee kutoka ENGLAND kufikisha idadi hiyo ya magoli katika Ligi 5 bora Ulaya.
-
Ikumbukwe CHELSEA ilimuuza ABRAHAM kwa pauni milioni 34 na kumnunua ROMELU LUKAKU kwa pauni milioni 97.5.
-
TAKWIMU ZA ABRAHAM NA LUKAKU MSIMU HUU:
ABRAHAM:
[emoji2522] Mechi: 49
[emoji460] Magoli: 25
[emoji2402] Assists: 5
LUKAKU:
[emoji2522] Mechi: 40
[emoji460] Magoli: 12
[emoji2402] Assists: 2
‘Dhahabu ilitupwa JIWE likaokotwa’
#Shabani Ajaha
-
ABRAHAM amefunga magoli 25 msimu huu kwenye michuano yote akiwa ndio mchezaji pekee kutoka ENGLAND kufikisha idadi hiyo ya magoli katika Ligi 5 bora Ulaya.
-
Ikumbukwe CHELSEA ilimuuza ABRAHAM kwa pauni milioni 34 na kumnunua ROMELU LUKAKU kwa pauni milioni 97.5.
-
TAKWIMU ZA ABRAHAM NA LUKAKU MSIMU HUU:
ABRAHAM:
[emoji2522] Mechi: 49
[emoji460] Magoli: 25
[emoji2402] Assists: 5
LUKAKU:
[emoji2522] Mechi: 40
[emoji460] Magoli: 12
[emoji2402] Assists: 2
‘Dhahabu ilitupwa JIWE likaokotwa’
#Shabani Ajaha