TAMRISO na COSOTA

TAMRISO na COSOTA

Joined
Oct 26, 2021
Posts
99
Reaction score
294
Tanzania Music Rights Society kwa sasa inatoa leseni za sanaa zinazoruhusu matumizi ya kazi za kibunifu katika maeneo ya kibiashara ambazo kabla ya mabadiliko ya sheria ya fedha zilikuwa zikitolewa na COSOTA. TAMRISO ndio sasa watakusanya na kugawa mirabaha sasa

Mirabaha ni nini?

Ni fedha ambazo wanapewa wabunifu mara baada ya matumizi ya kazi zao sehemu mbalimbali. Kuna aina mbalimbali za mirabaha mfano Machenical royalties, Public perfomance royalties, Synchronization royalties etc
 

Attachments

  • 092650c98e58490e83f3c532a1f46b18.jpg
    092650c98e58490e83f3c532a1f46b18.jpg
    45 KB · Views: 4
Back
Top Bottom