Tamthilia ya huba mmepoteza mwelekeo na mvuto

Tamthilia ya huba mmepoteza mwelekeo na mvuto

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Hakika Producer na Director wa Tamthilia ya HUBA asione AIBU kukatisha Matangazo yake DSTV Maisha Magic BONGO. Yanayoendelea hayaeleweki ili mradi kipindi kipo hewani. Hebu Fikiria Dakika 10 zinatumika kuwaonyesha Mzee Kashaulo Judi na Roy wakifokeana.

KIBIBI anaandaa tafrija kwa ajili tu ya kumdai Abby huu ni upuuzi. Japo hatulazimiki kuiangalia lakini lazima tuseme Ukweli TAMTHILIA ya HUBA imeisha siku nyingi kinachofanyika ni Kuunga unga matukio yasiyo na mwendelezo.

JB Anamtaka kimapenzi SIDA, mama mkwe wake Watoto wanaoiangalia wanajufunza nini. Tamthilia ya HUBA imepoteza MWELEKEO na MVUTO.
 
Niliachaga kutazama cku nyingi mnoo, haina hata maana.

Jua kali nayo inaelekea kupoteana, lol
 
Hakika Producer na Director wa Tamthilia ya HUBA asione AIBU kukatisha Matangazo yake DSTV Maisha Magic BONGO. Yanayoendelea hayaeleweki ili mradi kipindi kipo hewani. Hebu Fikiria Dakika 10 zinatumika kuwaonyesha Mzee Kashaulo Judi na Roy wakifokeana.

KIBIBI anaandaa tafrija kwa ajili tu ya kumdai Abby huu ni upuuzi. Japo hatulazimiki kuiangalia lakini lazima tuseme Ukweli TAMTHILIA ya HUBA imeisha siku nyingi kinachofanyika ni Kuunga unga matukio yasiyo na mwendelezo.

JB Anamtaka kimapenzi SIDA, mama mkwe wake Watoto wanaoiangalia wanajufunza nini. Tamthilia ya HUBA imepoteza MWELEKEO na MVUTO.

Hakika Producer na Director wa Tamthilia ya HUBA asione AIBU kukatisha Matangazo yake DSTV Maisha Magic BONGO. Yanayoendelea hayaeleweki ili mradi kipindi kipo hewani. Hebu Fikiria Dakika 10 zinatumika kuwaonyesha Mzee Kashaulo Judi na Roy wakifokeana.

KIBIBI anaandaa tafrija kwa ajili tu ya kumdai Abby huu ni upuuzi. Japo hatulazimiki kuiangalia lakini lazima tuseme Ukweli TAMTHILIA ya HUBA imeisha siku nyingi kinachofanyika ni Kuunga unga matukio yasiyo na mwendelezo.

JB Anamtaka kimapenzi SIDA, mama mkwe wake Watoto wanaoiangalia wanajufunza nini. Tamthilia ya HUBA imepoteza MWELEKEO na MVUTO.
Mwanaume unatazama tamthilia ya huba? Serious?
 
Content na continuity hakuna. Only good in promoting witchcraft. People do not work kazi kulala
 
Mkuu na wewe unakaa kabisa kuangalia hizo takataka?? Hebu kua serious basi
 
Sio imepoteza haina mvuto toka awali, naiangalia sababu bibi na msichana wangu wanaifuatilia hivyo nikiwepo nashindwa kutoa nisionekane dikteta
 
Kwa wanaume kama unaangalia hizo tamthilia za dstv basi nikupe pole tu
 
Back
Top Bottom