Tamu ya infidelity imenitokea puani

Huyu hakuwa anasoma novel za Ian Fleming na namna warusi walivyokuwa side tracked na James bond 007. How can you have an affiar without reading James Bond?
 
Thank u I give frank advice to both my fellow ladies and men who are stupid enough to be caught maana hawa wanatufanya tuwachunguze sana waume zetu and in the end na wanaume wanaanza kutuchunguza na kukuta kuwa "Usione mbwa kalala ukadhani koko".

 
Caren: Shikamoo baba!!

Asprin: Toka hapa unaniamkia unataka kuninyima nini?

So i say to you my father: Mamboz!!

Hili linahitaji kuhifadhiwa kwa ajili ya future reference! Katibu? Mwanangu Caren kweli sasa umekua!
 
Hiyo kali
Thank u I give frank advice to both my fellow ladies and men who are stupid enough to be caught maana hawa wanatufanya tuwachunguze sana waume zetu and in the end na wanaume wanaanza kutuchunguza na kukuta kuwa "Usione mbwa kalala ukadhani koko".

 
Read my posts in this forum uone ninavyomkubali shemeji yenu katika maswala ya unyumba. Huwa siyo mtu wa short time akiwa juu ya kiuno n since i get everything sijawahi fikiria. But hii haina maana kuwa yeye hafanyi na ex wake!! Anafanya sana nami najua lakini nifanyeje ndoa naitaka.

Careen Nimekukubali!

Inawezekana Shemeji yetu unam-cheat ile mbaya!:hand:
 
Hili linahitaji kuhifadhiwa kwa ajili ya future reference! Katibu? Mwanangu Caren kweli sasa umekua!

:croc:....mawasiliano muhimu mweka hazina...
 
 

kweli ndoa ndoano!
 
Caren unatoboa siri zetu nje sasa
Lakini kwa kuwa unaonekana weye ni mtaala wa misepo basi nataka kusepa nawe nikashuhudie how fantastic you are
 
hahaaa Mikela..

Hadithi hii ya kutunga ni tamu sana...

Yaani mtu mkeo amekuja kukuaga, and in just a few minutes umeshakimbilia forum unachapa letters? duh!!! Ok, lets assume that its a true story, Na huyo mama kakufuata guest, are you sure kwamba yeye hakua next room akiliwa na teamo au finest?

rules of infii are simplea nd clear, and for sure mikela you ahve just missed tehm na napendekeza wakuhamishie kwenye lile kundi la infii prevention movement
 

sasa huyu binti ameolewa? Maana sheria inasema mainfii wanatakiwa wawe wana ndoa zao.... Wewe hapa utakuwa umezini ndo maana umekamatwa lol
 

hahaha this might be true!!
 
Hili linahitaji kuhifadhiwa kwa ajili ya future reference! Katibu? Mwanangu Caren kweli sasa umekua!

Kuna workmate hapa kazini kwangu juzijuzi kaenda Tanga kakutana na katoto disco pale La Casa Chica. Akaona huyo ndo wa kuonea. Usiku yuko kwenye shughuli kapewa mambo kanogewa akasahau kujilinda. Yule mtoto si akampiga :A S thumbs_up: ya tigo!!!!

Nimekuwa baba na hii ya mtoto wa Tanga ndiyo staili yangu mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…