TAMWA: Jamii inahitaji elimu zaidi kutambua aina za ukatili wa kijinsia

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368

TAMWA inatambua kuwa ukatili wa kijinsia unaweza kuchukua sura mbalimbali kuanzia ukatili wa majumbani unaohusisha vipigo na matusi, usafirishaji wa binadamu, ukatili wa kingono kwa njia ya mtandao, ndoa za utotoni, ukeketaji na hata mauaji ya vikongwe.

Jamii inahitaji elimu kwa kina kuzifahamu aina zote hizi za ukatili na kuzitambua zinapotokea katika Jamii zetu.
 
ni kwa namna gani TAMWA inaelimisha jamii yote kujua haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…