TAMWA Muokoeni mtoto Faraja aliyetelekezwa mwenge stand na mwajiri wake mama bethy!

TAMWA Muokoeni mtoto Faraja aliyetelekezwa mwenge stand na mwajiri wake mama bethy!

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Ni story ya kusikitisha sana ambayo mama bethy masanja(mwajiri) amemtelekeza mfanyakazi wake wa ndani mwenge stand na kumkimbia,tamwa na uwt(wote gender na tiss) wamfatilie huyo mama anaonekana ni jeuri flani hivi.

Nita-upload audio clips yote ya interview kati ya supamix(baruti na zembwela) waliyofanya na mtoto faraja(17yrs gyal)

Nawasilisha
 
Labda mngeidokeza serkali ya mtaa hapo kwenye
hayo maeneo ili wamsaidie huyo binti.
 
Back
Top Bottom