TANAPA kunani?

Zux de

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2012
Posts
226
Reaction score
20
Kuna kipindi tanapa walitangaza nafasi mbalimbali za kazi. Lakini mpaka sasa sielewi mchakato wa mzima ulikwendaje? Mwenye kufahamu anijuze.
 
Kuna kipindi tanapa walitangaza nafasi mbalimbali za kazi. Lakini mpaka sasa sielewi mchakato wa mzima ulikwendaje? Mwenye kufahamu anijuze.

Kweli yaani tunasubiri hadi tunachoka kama kuna mtu anafahamu chochote atuambie.
 
Huwa wanachelewa sana kuita interview hata mimi nasubiria hizo japo nacheki na ishu nyingine
 
Huwa wanachelewa sana kuita interview hata mimi nasubiria hizo japo nacheki na ishu nyingine

Pole kijana!!!kwa taarifa nilizonazo Tanapa watu walishaanza kazi, so jaribu fatilia ujilizishe.
All the best!
 
Wadau nimefuatilia huko TANAPA hakuna watu walioitwa huko.
Ishu ni kuwa waombaji ni wengi hivyo wanaangalia utaratibu mzuri wa kuita watu wapige pepa kama inavyofanyika katika Taasisi zingine.
Hivyo hakuna aliyeitwa kuanza kazi.
 
Wadau nimefuatilia huko TANAPA hakuna watu walioitwa huko.
Ishu ni kuwa waombaji ni wengi hivyo wanaangalia utaratibu mzuri wa kuita watu wapige pepa kama inavyofanyika katika Taasisi zingine.
Hivyo hakuna aliyeitwa kuanza kazi.
Asante!!!muulizaji atakuelewa,
God bless You.
 
Je unataka kazi au nataka kuingia kufanya kazi TANAPA? Kama kazi omba maafisa tarafa wametangaza angalia katika tovuti ya ajira serikalini deadline katikati ya mwezi huu na omba hata ukipata unaweza kuacha na baadaye kwenda unakohitaji mwenyewe kama kuna nafasi huko
"KUKAA BILA AJIRA NI VIBAYA PIA INAUMIZA WALIKUWEPO NYUMA YAKO NA KUFUATA MIENENDO YAKO"
USHAURI
OMBA KAZI!
 
Kutoka HR Department ndani ya Tanapa: Hakuna aliyeitwa na pia bado hawajazichamabua barua ngoja tusubiri tuone mambo yakiwa tayari mtajulishwa.
 
Wadau nahisi kama tanapa washanichinjia baharini. Mbona kimya sana! Kuna mdau yeyote aliyeitwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…