Ni kwasababu za kiusalamaKwenye mfumo wa kufanya malipo TANAPA (kwenye mbuga za wanyama) kumekuwa na maelekezo ya kujaza maelezo yote ya mgeni yaliyopo kwenye passport (Tarehe ya Kuzaliwa, jina kamili na passport number na utaifa)
Kutokana na mabadiliko ya tecknolojia, mtu akipata hayo maelezo, anao uwezo wa ku-temper na account mbalimbali za muhusika hivyo wageni wengi hutoa hizo taarifa kwa shingo upande.
Hivi hakuna njia mbadala na rafiki ya mgeni kulipa bila kujaza hayo maelezo binafsi?
Nafikiri matatizo yetu ya ndani ya kulinda maduhuri yasiwe sehemu ya kuwapa wakati mgumu wageni
Sio kweli kwa sababu mgeni anakuwa amesha acha taarifa zake zote mpakani akipita. Natumai unajua taratibu za kupita aiport au mpakani. Hiyo unaingia kwenye geti la park kuacha tena hizo taarifa sioni kama ni sawaNi kwasababu za kiusalama
Inachokufanya useme sio sawa ni kipi...haijalishi ameacha taarifa wapi muhimu ni usalama wa nchi, kumbuka anapolipa hapo getini ni issue ya money transaction kwa mgeni hizo taarifa ni muhimu!Sio kweli kwa sababu mgeni anakuwa amesha acha taarifa zake zote mpakani akipita. Natumai unajua taratibu za kupita aiport au mpakani. Hiyo unaingia kwenye geti la park kuacha tena hizo taarifa sioni kama ni sawa
Sina hakika kama unafaham taratibu zinazofanyika hadi mgeni apatikane, apange safari, asafiri, aingie Nchini na aingie kwenye park zetu.K
inachokufanya useme sio sawa ni kipi...haijalishi ameacha taarifa wapi muhimu ni usalama wa nchi, kumbuka anapolipa hapo getini ni issue ya money transaction kwa mgeni hizo taarifa ni muhimu!
Asante nimekuelewa....lakini pia naamini hizo taarifa ni muhimu kwa ajili ya rekodi za wageni waliongia ndani ya hifadhi, au hizo pia kampuni iliyoleta mgeni hupeleka taarifa hizo kwenye hifadhi husika?Sina hakika kama unafaham taratibu zinazofanyika hadi mgeni apatikane, apange safari, asafiri, aingie Nchini na aingie kwenye park zetu.
Labda kwa kifupi tu; Kwa asilimia kama 98 ya wageni wanaoingia kwenye Park; hawalipi hela ya Kiingilio wenyewe. Taratibu za park ni kuwa, hulipiwa tozo hizo na Kampuni zenye usajili rasmi hapa Tanzania.
Natumaini umenielewa kwa nini nasema jibu lako sio sahihi...
Kwa ajili ya dataAsante nimekuelewa....lakini pia naamini hizo taarifa ni muhimu kwa ajili ya rekodi za wageni waliongia ndani ya hifadhi, au hizo pia kampuni iliyoleta mgeni hupeleka taarifa hizo kwenye hifadhi husika?
Wewe huelewi chochote kwenye hili vema ukakaa kimya.K
inachokufanya useme sio sawa ni kipi...haijalishi ameacha taarifa wapi muhimu ni usalama wa nchi, kumbuka anapolipa hapo getini ni issue ya money transaction kwa mgeni hizo taarifa ni muhimu!
Kutokujua chochote hakunizuii kuuliza issue ambazo ni obvious, mwenye kujua na mwenye ufahamu juu ya kazi yake ndugu Mparee2 kisha nifahamisha na nimefahamu.....Wewe huelewi chochote kwenye hili vema ukakaa kimya.
●Hakuna money transaction yoyote anayoifanya mgeni.
Kwa sababu mgeni anakuwa tayari amekwishalipa kupitia wakala wake huko kwao.
●Pesa yote ya Park Fee's na Concessions anailipa Tour Operator in Advance kupitia mabenki yaliyo pewa kandarasi hiyo na TANAPA.
●Pale kwenye Entry Point kinachofanyika ni verification ya malipo kwenye system kupitia Computers.
Sasa mgeni anasumbuliwa tena kuombwa Passport details za nini?
Wakati anayewakilisha hati za malipo husika ni Driver/Guide.