TANAPA, TAWA na NCAA karibuni sana katika maisha ya mgao

TANAPA, TAWA na NCAA karibuni sana katika maisha ya mgao

sopinta

Member
Joined
May 28, 2020
Posts
46
Reaction score
93
Leo katika majadiliano ya bajeti, nilimsikia Spika anahoji juu ya TRA kwenda kukusanya mapato katika mamlaka za hifadhi za wanyama pori pamoja na hifadhi kitalii, nikashangaa kumbe mpaka wa leo kuna Taasisi zinajipangia matumizi ya hela waliokusanya!

Dah! Si mchezo kama hamkupiga vizuri basi niwakaribishe katika kilinge cha kusubiri mgao kutoka mfuko mkuu wa Hazina na mjue kuwa kabla haujaomba hiyo hela ni lazima utoe ufafanuzi wa kina juu ya hiyo hela utakayoomba alafu mkuu akiridhika ndio utapata, wengine maisha ya kusubiri mgawo kutoka mfuko mkuu tulishayazoea.
 
Halafu wanasema TRA inavunja record ya kukusanya kumbe wanapitia hata ambavyo walikuwa hawakusanyi zamani
 
Leo katika majadiliano ya bajeti, nilimsikia Spika anahoji juu ya TRA kwenda kukusanya mapato katika mamlaka za hifadhi za wanyama pori pamoja na hifadhi kitalii, nikashangaa kumbe mpaka wa leo kuna Taasisi zinajipangia matumizi ya hela waliokusanya!

Dah! Si mchezo kama hamkupiga vizuri basi niwakaribishe katika kilinge cha kusubiri mgao kutoka mfuko mkuu wa Hazina na mjue kuwa kabla haujaomba hiyo hela ni lazima utoe ufafanuzi wa kina juu ya hiyo hela utakayoomba alafu mkuu akiridhika ndio utapata, wengine maisha ya kusubiri mgawo kutoka mfuko mkuu tulishayazoea.
Hii haiwezekanani mkuu, hawa jamaa wazalisha wanachotakiwa kupeleka hazina wanapeleka. kinachobaki ndiyo kinaendesha taasisi kwa kulipa mishahara na posho na kazi za maendeleo za matangazo ya watalii. wakipeleka hazina hayo yote hayatakuwepo mahifadhi yatavamiwa na majangili. kesho tukutane kwenye kutoa mapendekezo ya kubadili sheria ili tuwasasidie mapato yasiende hazina
 
Hii haiwezekanani mkuu, hawa jamaa wazalisha wanachotakiwa kupeleka hazina wanapeleka. kinachobaki ndiyo kinaendesha taasisi kwa kulipa mishahara na posho na kazi za maendeleo za matangazo ya watalii. wakipeleka hazina hayo yote hayatakuwepo mahifadhi yatavamiwa na majangili. kesho tukutane kwenye kutoa mapendekezo ya kubadili sheria ili tuwasasidie mapato yasiende hazina
Sina shida na maamuzi ya serikali ni mazuri ila wafanye inavyowezekana pesa za doria, posho za wahifadhi, miundo mbinu ya hifadhini na pia njia yoyote iliyokuwa inatumika kupunguza ujangiri, wanyama pori waharibifu na pesa yoyote inayohusu huifadhi ziwe zinaenda kwa muda muafaka na kwa wakati so Serikali ikiweza hapo basi hifadhi zetu zitakuwa salama na mapato yatakuwa juu
 
Back
Top Bottom