Tanasha

Enzi hizo domo alipomuacha wema mara karukia kwa penny mara kajala kaiba CK kulikua na masimango kiongozi kadinda eti hivyo vinuka mkojo havimfikii wema kwa kuongea kizungu na kusoma shule ya kishua
Umeona eeh , lile janamke lina nyota yake , yule Ndo aliyezima nyodo za sepenga[emoji23][emoji23], chezeya , wema sasq hvi yupo kama housegirl wa Mama Sabrina , hana jipya mjini
 
Hicho ndicho nachompendea,siku akitokea mtanzania akatutingisha kama yeye ntaacha rasmi kumshobokea Zari.

Kwa sasa Hivi mmh, bado , we mwenyewe umeona mbwe mbwe zake akiingia tu airport waandishi wanavyojaa, tanasha at aje na piki piki no one cares , huon kila siku anakuja Tz but people are not excited at all , ngoja Zari atangaze kuja Tz uone mpaka dada wa US anavyopagawa[emoji23][emoji23], Zari ni mwanamke na class yake bwana, anatutetemesha ma sister duh wote wa magufuli[emoji23][emoji23], you know there is this thing about Zari you can’t even explain , yan she is just her , ako na vibe kama lote[emoji23]
 
Hahahah warumi bana huko juu umemnanga balaa. Hapa unamsifia. Kinachomkera mange ni kuwa enzi za mashauzi yanataka pesa alikua anacopy maisha ya Zari na kutaka kuwa juu yake zaidi. Ila kaporomoka balaa mpaka kawa hater wa kudumu.

Wanasema domo kampa umaarufu zari mbona kashindwa muambukiza kashata huo umaarufu mkubwa
 

Zari is Zari , kwa tanasha bado , tunasubir kiboko y Zari Sijui atakua nani ila kwa east Africa kwa sasa hakuna kumzidi, she is a package kwa kweli
 
Write your reply...Penny pia alikuwa mpole na mstaarabu sana ila Mondi akamuacha sijui kwa nini.
 

Zari anapenda kiki na picha yaan siku ikipotea insta atakufa
 
Yah kama kanaigiza kwa kweli katupata wambea, maana hatuna cha kuongea[emoji23][emoji23]... kajitahid kuigiza mpaka waachane au hata afaidike kidogo maana soon bidada ataanza ku show her true color[emoji23][emoji23]
Hahaha kanachuna kwa akili,bila kupiga kelele.na si wambea ndo tunazsubiri hizo true colors tupate pa kusemea.
 
Kiukweli hata mimi nimeanza kukapendapenda!
kamefanya wasipate pa kumnanga, wasipate pa kumfanyia fyatu!
mana hakuna team nini sijui team tanasha !
hahitaji team!
her man her way of enjoying him!
Mamamkwe hata awe na mdomo sijui wifi nini sijui unamuingiaje tanasha ili muwe na drama!
SAFI SANA NDO AINA YA MWANAMKE ANAFAA ILE FAMILIA!
 
Mwambie Akapime NGOMA maana ni KAZEZE NI KAZEZE.
 
Ngoja azae tu,anaachika vzr tu,sema ndo hivo havumi sn, so haitakua big issue
 
S i kwa domo yule!
Tanasha naye anapikiwa jungu lake ....
.Mama domo...akianza yake...huyo naye..atatoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…