TANCOAL NI KERO. (Wawekezaji:Makaaa ya Mawe Mbinga)

Benno

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2009
Posts
332
Reaction score
51
Serikali: angalieni upya huu uwekezaji. TANCOAL kampuni inayochimba na kusafirisha makaa ya mawe inasababisha wananchi kutotumia barabara, kutokana na Wawekezaji hawa kupitisha magari makubwa kushinda uwezo wa barabara.

Madereva wa malori Haya wamekuwa ni kero. Kwa tabia ya kuegesha magari katikati ya barabara na kuzuia mabasi ya abiria.

Wanachimba, wanabeba bila hata kupanua barabara.
Serikali Mpo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…