Tandiko Vs Godoro

Membe S K

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
1,389
Reaction score
1,253
Polisi: Msee wangu tukusaidie nini
Mzee: Wezi wameiba godoro
Polisi: Kuna mtu waweza kumhisi hana ritandiko karibu na nyumba yako?
Mzee: Ana Ritandiko ana rigodoro
Polisi: Nenda mlete huyo Ana Ritandiko na Rigodoro
Mzee: Siwezi kuleta rigodoro kwasababu Ana Ritandiko sasa analilalia rigodoro
Polisi: ha ha ha ha, wewe mzee muhuni, yani unajuwa wakati gani Ana Ritandiko analilalia Rigodoro, ha ha ha ngoja nimwambie bosi wangu.
Polisi: Bosi ebu nisaidie hapa, huyu mzee anasema Ana Ritandiko analilalia Rigodoro sasa hivi.
Bosi: Nilijuwa hili siku nyingi kwamba mke wangu Ana Ritandiko analala na Rigodoro. Nenda tia pingu wote wawili, Ana na Rigodoro alafu leta hapa wote.
Mzee: Hapana baba tafadhali nielewe, Ana Ritandiko haibi Rigodoro......
Polisi: Bosi, huyu mzee anamaanisha Rigodoro ndio linaiba Ritandiko, hivyo wacha tukalikamate Rigodoro kabla halijalilalia sana Ritandiko

Mzee kaona karikoroga kwa mke wa bosi, kaamua kutoka mbio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…