TANESCO acheni kukatakata umeme!

TANESCO acheni kukatakata umeme!

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Siku ya leo, ndani ya masaa haya manne, mmekata umeme zaidi ya mara 20.

Nia yenu ni nini?

Kuna mtu aliniambia kuna watu ndani ya Wizara hawampendi Waziri Makamba kwa hiyo wanamfanyia figisu mbalimbali ili atolewe.

Mimi simtetei wala simkubali huyo Waziri wenu ila kama ni kweli mnafanya haya mambo makusudi, huu ni ushenzi kama ushenzi mwingine wowote.
 
Siku ya leo, ndani ya masaa haya manne, mmekata umeme zaidi ya mara 20.

Nia yenu ni nini?

Kuna mtu aliniambia kuna watu ndani ya Wizara hawampendi Waziri Makamba kwa hiyo wanamfanyia figisu mbalimbali ili atolewe.

Mimi simtetei wala simkubali huyo Waziri wenu ila kama ni kweli mnafanya haya mambo makusudi, huu ni ushenzi kama ushenzi mwingine wowote.
Corrupt government
 
Siku ya leo, ndani ya masaa haya manne, mmekata umeme zaidi ya mara 20.

Nia yenu ni nini?

Kuna mtu aliniambia kuna watu ndani ya Wizara hawampendi Waziri Makamba kwa hiyo wanamfanyia figisu mbalimbali ili atolewe.

Mimi simtetei wala simkubali huyo Waziri wenu ila kama ni kweli mnafanya haya mambo makusudi, huu ni ushenzi kama ushenzi mwingine wowote.
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000

Tanesco acheni maigizo, hivi mifumo yenu haionyeshi maeneo yasiyo na umeme mufa huu?

Haya nikutajie Morogor Tungi na Kihonda muda huu hakuna umeme mitaa yote
 
Back
Top Bottom