KERO TANESCO Arumeru kuna shida gani? Umeme unakatika kwa siku zaidi ya mara 10

KERO TANESCO Arumeru kuna shida gani? Umeme unakatika kwa siku zaidi ya mara 10

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
TANESCO wilaya ya Arumeru mkoani Arusha kuna tatizo gani tangia jana. Jana umeme ulikatika zaidi ya mara 10, usiku ukakatika tena mara kadhaa, asubuhi hii umekatika tena, mbona hamna taarifa kuna nini?

Mmetuunguzia vifaa vyetu, tunaotegemea kazi ya kukata, kukereza na kuunga vyuma tunafanyaje kazi? Hapa tuna kazi za watu na wakitulipa ndiyo hela yetu ya kula, mnataka tuishije?

Meneja wa mkoa au wa wilaya tueleze kuna tatizo gani na litaisha lini.
 
Back
Top Bottom