lunch_skiper
Member
- Mar 11, 2025
- 5
- 2
Habari
TANESCO boresheni maslahi ya vibarua shinyanga mjini kwa maana wanateseka na kupitia changamoto ngumu sana kwa sasa ni miezi miwili huu wa tatu hawajalipwa wengi wao huacha kazi kwa kuamini wamezulumika kazi ni ya nguvu nyingi inapaswa wale lakini watakula nini ikiwa hawana pesa mamlaka husika husikeni katika hili bila hvyo watapata vidonda vya tumbo kwa njaa au kupondwa nguzo kwa kukosa nguvu
TANESCO boresheni maslahi ya vibarua shinyanga mjini kwa maana wanateseka na kupitia changamoto ngumu sana kwa sasa ni miezi miwili huu wa tatu hawajalipwa wengi wao huacha kazi kwa kuamini wamezulumika kazi ni ya nguvu nyingi inapaswa wale lakini watakula nini ikiwa hawana pesa mamlaka husika husikeni katika hili bila hvyo watapata vidonda vya tumbo kwa njaa au kupondwa nguzo kwa kukosa nguvu