Wakuu kwanza salamu sana. Nipo Dodoma Kwa wiki mbili sa hivi . Lakini Dodoma niliyomo umeme wa uhakika hakuna. Dodoma muda wowote umeme unakata.
Kutoka tarehe 24 hivi Kila ikifika saa sita saba hivi umeme unakatika na kuwaka si chini ya mara 10 Kwa saa Moja. Paap unakuja, paap unakata. Juzi simu yangu ndogo iliungua. Nikatoka mlio ndani Kwa ndani. Jana usiku hali imejirudia ni kata , rudisha mpaka nikaanza kuona aibu!
TANESCO hamna asiyejua mitambo huwa inaharibika but tuambieni kwamba usiku ndio huwa mnatengeneza ili mzime kabisa tupate majibu..sio hiki mnajaribu kufanya.
Ni aibu kwamba mmekuwa chanzo Cha matatizo mbalimbali ya vifaa vya wananchi wanaolipa Kodi kupata huduma.
Kutoka tarehe 24 hivi Kila ikifika saa sita saba hivi umeme unakatika na kuwaka si chini ya mara 10 Kwa saa Moja. Paap unakuja, paap unakata. Juzi simu yangu ndogo iliungua. Nikatoka mlio ndani Kwa ndani. Jana usiku hali imejirudia ni kata , rudisha mpaka nikaanza kuona aibu!
TANESCO hamna asiyejua mitambo huwa inaharibika but tuambieni kwamba usiku ndio huwa mnatengeneza ili mzime kabisa tupate majibu..sio hiki mnajaribu kufanya.
Ni aibu kwamba mmekuwa chanzo Cha matatizo mbalimbali ya vifaa vya wananchi wanaolipa Kodi kupata huduma.