BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
ukifuata njia sahihi hilo ndo jibu utakalopewa!!!!!
ukifuata njia sahihi hilo ndo jibu utakalopewa!!!!!
Jibu gani sasa Kamanda?
Tunaumia wengine jamani!
mkono mtupu haulambwi we nenda na bahasha muachie muhusika kama hajakuambia umuachie location yako itafungwa siku hiyohiyo. hiyo ndiyo hali halisi
Mkuu hata zile za deal zimeisha huku tuliko!!!
jamani nimelazimika kuomba msaada hapa baada ya kuwa njia zingine zote zimeshindikana, shida yangu ni moja tu, nataka umeme jamani nimewalipa tanesco yapata miezi miwili sasa lakini naambiwa kuwa eti hawana LUKU metres, sasa nashindwa kuelewa nifanye nini nimeishi bila umeme kwa zaidi ya miezi mitano sasa nma kama nilivyosema nimeshalipa kila kitu, please heeeeeeeeelp!!!!!