TANESCO hili la umeme Kibiti, Rufiji, Kilwa ni aibu

Chambusiso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2007
Posts
2,592
Reaction score
4,640
Inasikitisha sana pamoja na wito wa kuwekeza kwenye viwanda lakini bado kuna wilaya umeme unakatika zaidi ya siku 3 wakati mwingine hadi wiki 2 na hamna mteja anayejua nini kinaendelea na hamjali. Mnakatisha tamaa ya kuwekeza na pia kuwatia hasara wafanyabiashara wadogo kila wakati wanapoanza kuinuka. Chukueni hatua kumaliza hili tatizo linawatia aibu japo hamjali kwa ukiritimba uliopo lakini mnamuangusha mheshimiwa Rais.
 
Kibiti wanaogopa kwenda

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
kama ni kibiti kachukueni nguzo mfanye marekebisho wenyewe.....nani aje apigwe risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…