Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
yaani nishawahi kulala gizani mara kibao kwa sababu nilikuwa nawaaachia mabinti ila nikaona hakuna sababu ya kulala giza kwa sababu ya uzembeUkiwa na matumizi makubwa halafu unanunua kidogo kidogo kwa hali ilivyo kulala giza lazima, mie kipindi kile nilinusulika nilinunua ukagoma baadaye nikatumiwa token voda na tigo, maranyingi ile alarm inashitua napo zinakuwa kati ya 4-5
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wenye nchi wanaona maoni yako sio tibaKwa nini hatutatui matatizo kwa ufumbuzi wa kudumu?? [emoji848] [emoji848]
Wamerudisha mfumo vizuri, mimi nimenunua ikakubali sasa.Na leo umeme haununuliki
Sijui ni kwangu tu au wote
Hahaha aise PoleWeekend nimejisahau umekata kabisa leo asubuhi. Chamoto nimekiona.