TANESCO huduma zenu mbovu mnatesa Wananchi

TANESCO huduma zenu mbovu mnatesa Wananchi

TikTok2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2022
Posts
1,816
Reaction score
3,150
Nimewaita mara tatu

Hakika mnasikitisha sana Kwa huduma zenu mbovu wananchi tunateseka sana.

Leo kutwa nzima tumeshinda bila umeme wamerudisha jioni hii na bado umeme wenyewe ni wa mashaka unawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi kitu ambacho ni hatari.

Hakuna taarifa yoyote ya katika hili iliyotolewa hakika inasikitisha sana kuishi nchi ngumu namna hii.

Mungu nusuru Taifa hili la Tanzania.
 
Acha tu kila kitu shida ndio maana mama ameona abinafsishe kila kitu kwa DP World maana atalala kwa raha aisee.

Kha hawawezi kila kitu ndio maana wanapewa waarabu atleast muwe mnawafuata nyuma nyuma huwezi kazi kafie mbele huko au unakatwa na jambia hivi mama aliweka na tanesco kwenye mkataba , je idara ya maji, maana hili nalo nitatizo
 
Mbona huku kwetu ni wiki tatu sasa tangia tuwe tunapata umeme wa mgawo. Si unajua hiki ni kiangazi mabwawa yamekauka.

Hilo la JNHPP tunaambiwa hadi Julai 2025 kwani nalo linakauka kwa kiangazi hiki kikali. Yote haya yanasababishwa na matusi wanayoyatoa chadema hadi Mungu amekasirika na kukausha mabwawa yetu ya umeme.
 
Mbona huku kwetu ni wiki tatu sasa tangia tuwe tunapata umeme wa mgawo. Si unajua hiki ni kiangazi mabwawa yamekauka. Hilo la JNHPP tunaambiwa hadi Julai 2025 kwani nalo linakauka kwa kiangazi hiki kikali. Yote haya yanasababishwa na matusi wanayoyatoa chadema hadi Mungu amekasirika na kukausha mabwawa yetu ya umeme.
Msisingizie
 
Nimewaita mara tatu

Hakika mnasikitisha sana Kwa huduma zenu mbovu wananchi tunateseka sana.

Leo kutwa nzima tumeshinda bila umeme wamerudisha jioni hii na bado umeme wenyewe ni wa mashaka unawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi kitu ambacho ni hatari.

Hakuna taarifa yoyote ya katika hili iliyotolewa hakika inasikitisha sana kuishi nchi ngumu namna hii.

Mungu nusuru Taifa hili la Tanzania.
Wengine tumeshazoea sasa, wanakata umeme wanavyotaka. Hata wakitoa ratiba hawaifuati ipasavyo.
 
Nimewaita mara tatu

Hakika mnasikitisha sana Kwa huduma zenu mbovu wananchi tunateseka sana.

Leo kutwa nzima tumeshinda bila umeme wamerudisha jioni hii na bado umeme wenyewe ni wa mashaka unawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi kitu ambacho ni hatari.

Hakuna taarifa yoyote ya katika hili iliyotolewa hakika inasikitisha sana kuishi nchi ngumu namna hii.

Mungu nusuru Taifa hili la Tanzania.
Unapendekeza nini? Maandamano au nini kifanyike?
 
Tuliza ball mkuu,, wizara iko chini ya "lovely kid" the next president to be huna na hatuna cha kumfanya msambaa yule,, angalia huko jinsi anavyowafanya wafanyabiashara wa mafuta,, nani atamgusa,,!?
 
Tuliza ball mkuu,, wizara iko chini ya "lovely kid" the next president to be huna na hatuna cha kumfanya msambaa yule,, angalia huko jinsi anavyowafanya wafanyabiashara wa mafuta,, nani atamgusa,,!?
Mbaya sana wala hawezi kuwa presidaa kamwe atabaki kuwa lovely kid basi
 
Back
Top Bottom