TANESCO Iringa, hili la kusitisha huduma saa saba mpaka saa nane mmelitoa wapi?

TANESCO Iringa, hili la kusitisha huduma saa saba mpaka saa nane mmelitoa wapi?

Right3

Senior Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
194
Reaction score
237
Nimefika TANESCO kati ya saa saba naambiwa hakuna huduma mpaka saa nane.

Nadhani hii si sawa hili ni shirika la huduma huduma huwa haikatishwi. Hii ni huduma kama Benki, Hospitali, Fire, Police, kwa kifupi hizi huwa zinaitwa ‘essential service’ hata kama mtataka kugoma kuna utaratibu maalumu.
Nimesema kwa kua Mbeya, Sumbawanga hawafanyi hivi sasa nyinyi mamlaka ya kufanya hivi mmepata wapi.

Hivi HR wa hapo anashindwa kutoa ushauri kuwa kwenye essential services huwa hatufanyi huu upuuzi.

Mbeya wanafanya rotation kwenda kula hawafungi huduma.

Hili lirekebishwe haraka halimuhusu Maharage wala Waziri ni poor thinking at Regional level.
 
Hilo hata mimi nilikuta Kigoma ofisi zimefungwa nikaambiwa wameenda kula hivyo mpaka baada ya lisaa hivi ndo watarudi nikawa so much obsessed na hilo.
 
Kwahiyo wasipumzike kisa wewe una haraka zako!
Ungejihimu basi Kama upo moto
 
Kwahiyo wasipumzike kisa wewe una haraka zako!
Ungejihimu basi Kama upo moto

Unajua maana ya “essential servises” wewe?
Ungefahamu usingechangia ungekaa kimya ba sio kutopumzika ila wapumzike kwa kupeana zamu ila pawe wazi muda wote na mtu awepo.
 
Back
Top Bottom