Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Imekuwa ni kawaida kwa wale wateja ambao matumizi yao kwa mwezi ni chini ya 75 units kuwekwa kwenye tariff zero (yaani huyu mtu kwa takribani 9600/= anajipatia units 75); Sasa kuna wadau kama wanne ambao walikuwa kwenye hii Tariff nimesikia wakilalamika ndani ya kama mwezi kwamba wanaondolewa....
Hivyo kabla sijapata taarifa za uhakika siwezi kushutumu kwahio nauliza TANESCO hii ni kweli ?
Na kama ni kweli kwanini mnafanya haya mambo ya ajabu ningewaona wa maana kipindi hiki tunapopigia chapua Nishati safi mgenfanya kila mtu unit ikawa hata chini ya 100/= hapo watu wangepikia majiko ya umeme sababu kwa kufuta hii Tariff nashindwa kuwaelewa mnataka watu waanze kupikia mkaa au kutumia dollar kununua gesi ?
Tafadhali kama ni kweli hizo shutuma please rethink what you are doing....
www.jamiiforums.com
Hivyo kabla sijapata taarifa za uhakika siwezi kushutumu kwahio nauliza TANESCO hii ni kweli ?
Na kama ni kweli kwanini mnafanya haya mambo ya ajabu ningewaona wa maana kipindi hiki tunapopigia chapua Nishati safi mgenfanya kila mtu unit ikawa hata chini ya 100/= hapo watu wangepikia majiko ya umeme sababu kwa kufuta hii Tariff nashindwa kuwaelewa mnataka watu waanze kupikia mkaa au kutumia dollar kununua gesi ?
Tafadhali kama ni kweli hizo shutuma please rethink what you are doing....
Nishati Safi ya Kupikia, Mwarobaini tunao na ni Bora kuliko Gesi
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...