KERO TANESCO Kasulu, tumelala giza tumeshinda bila umeme na usiku umeingia bila umeme

KERO TANESCO Kasulu, tumelala giza tumeshinda bila umeme na usiku umeingia bila umeme

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Serikali ya wilaya ya Kasulu imekaa kimya tu wananchi walipakodi tunashinda na kulala gizani.

Haya ndiyo mambo yanayosababisha watu tujifunze kukwepa kulipa kodi maana hatuoni umuhimu wake

Inakera sana

TANESCO makao makuu tuna uhakiaka hamna taarifa na hizi hujuma tunazofanyiwa na uongozi wa wilaya. Mnafaidika nini na huu usumbufu na hasara mnayotusababishia?

Kuna taarifa kuwa mmehongwa kutengeneza scarcity ya umeme ili mabosi wauze generators

Kata ya Makere ipo gizani kwa zaidi ya masaa 24 Sasa

TANESCO makao makuu tunaomba msaada wa haraka
 
Msilalamike. Hata treni ya mchongo haina umeme
 
Bado hamjachema..............mkiambiwa toeni kijani hamsikii
 
Serikali ya wilaya ya Kasulu imekaa kimya tu wananchi walipakodi tunashinda na kulala gizani.

Haya ndiyo mambo yanayosababisha watu tujifunze kukwepa kulipa kodi maana hatuoni umuhimu wake

Inakera sana

TANESCO makao makuu tuna uhakiaka hamna taarifa na hizi hujuma tunazofanyiwa na uongozi wa wilaya. Mnafaidika nini na huu usumbufu na hasara mnayotusababishia?

Kuna taarifa kuwa mmehongwa kutengeneza scarcity ya umeme ili mabosi wauze generators

Kata ya Makere ipo gizani kwa zaidi ya masaa 24 Sasa

TANESCO makao makuu tunaomba msaada wa haraka
Habari Restless Hustler, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa msaada zaidi. ^GK
 
Back
Top Bottom