A Anonymous Guest Jun 13, 2024 #1 TANESCO KIBONDO NI KERO Leo ni siku ya 3 sasa, hawa TANESCO wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wanakata umeme kwa zaidi ya saa 12 bila taarifa yoyote. Je, ni mgao umeanza tena tujue? TANESCO
TANESCO KIBONDO NI KERO Leo ni siku ya 3 sasa, hawa TANESCO wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wanakata umeme kwa zaidi ya saa 12 bila taarifa yoyote. Je, ni mgao umeanza tena tujue? TANESCO
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 24,514 Reaction score 65,521 Jun 18, 2024 #2 Kuna mgao wa kimya kimya unaendelea, hii mijitu inazidiwa akili hata na funza wa chooni