TANESCO kukata umeme baadhi ya maeneo Mkoani Dar tarehe 28 Julai 2024

TANESCO kukata umeme baadhi ya maeneo Mkoani Dar tarehe 28 Julai 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME

KUZIMWA KWA BUS BAR YA MSONGO WA KILOVOLTI 220 KATIKA KITUO CHA KUPOZA UMEME CHA UBUNGO

27 JULAI, 2024


Shirika la Umeme Tanzania, linawatangazia wateja wake wa Mkoa wa Dar es salaam kuwa kutakua na katizo la umeme katika maeneo yao.

Sababu: Kuwezesha kituo cha Ubungo ili kiweze kuhudumia wateja wote wa Dar es Salaam na Zanzibar kwa kuweka uwiano sawa wa mahitaji kwenye laini za 220kV Ubungo-Kinyerezi na ile ya 220kV Chalinze-Luguruni-Ubungo.

SIKU, TAREHE NA MUDA
Jumapili,28,Julai 2024, kuanzia saa 5:00 Mchana hadi saa 8:30 Mchana

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA Baadhi ya Maeneo Katika Mkoa wa Dar es salaam

Shirika linawashukuru wateja wake kwa ushirikiano katika kipindi chote ambacho huduma ya Umeme itakosekana.

IMETOLEWA NA:
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA,
TANESCO MAKAO MAKUU,
DODOMA.
SIMU-0748 550 000.
IMG_20240727_183213_923.jpg
 
Hayo baadhi ya maeneo si wangeyataja...
 
Mbona hapaeleweki saa 5:00 mchana ndo Nini, 8:30 mchana hii kitu Gani sijaelewa
 
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME

KUZIMWA KWA BUS BAR YA MSONGO WA KILOVOLTI 220 KATIKA KITUO CHA KUPOZA UMEME CHA UBUNGO

27 JULAI, 2024


Shirika la Umeme Tanzania, linawatangazia wateja wake wa Mkoa wa Dar es salaam kuwa kutakua na katizo la umeme katika maeneo yao.

Sababu: Kuwezesha kituo cha Ubungo ili kiweze kuhudumia wateja wote wa Dar es Salaam na Zanzibar kwa kuweka uwiano sawa wa mahitaji kwenye laini za 220kV Ubungo-Kinyerezi na ile ya 220kV Chalinze-Luguruni-Ubungo.

SIKU, TAREHE NA MUDA
Jumapili,28,Julai 2024, kuanzia saa 5:00 Mchana hadi saa 8:30 Mchana

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA Baadhi ya Maeneo Katika Mkoa wa Dar es salaam

Shirika linawashukuru wateja wake kwa ushirikiano katika kipindi chote ambacho huduma ya Umeme itakosekana.

IMETOLEWA NA:
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA,
TANESCO MAKAO MAKUU,
DODOMA.
SIMU-0748 550 000.
View attachment 3053878
Eti saa 5 mchana, yaani sisi ndiyo wenye lugha ya Kiswahili halafu shirika la umma linatoa taarifa kwa umma linaandika saa 5 mchana.

Kuna saa 5 ya asubuhi na saa 5 ya usiku tu. Usidhani ni bahati mbaya, ila wanahadaa watu kuwa tu, watazima umeme mchana na mchana huohuo watawasha.

Hawataki kuwa, walizimq asubuhi, wakawasha mchana.

Ova
 
Back
Top Bottom